Umesahau kitu kimoja kikubwa sana, "wapemba watapungua kigamboni na dsm, na mikoani, watakuwa either wahamiaji haramu wanaotakiwa kufurushwa au watapata shida sana ya uraia kwasababu zenji wataipenda na bara wataipenda kutokana na kwamba wamewekeza, wamenunua ardhi etc.
Jambo hili...