Recent content by Azpilicueta

  1. A

    JamiiForums Tanzania Tanzania hatuna team ya kuingia semi final ya caf champions league, acheni hype

    impossible ipo ndomaana hakuna Timu kutoka bara la Africa iliyowahi kufika hata fainali ya word cup achilia mbali kuchukua. Hakuna klabu kutoka Africa iliyowahi kuchukua fifa club word cup pia
  2. A

    JamiiForums Tanzania Kuna anayetumia GB WhatsApp anipe mrejesho?

    Unafikirii wao wanashindwa kuweka izo feature kwenye official watsap ? jiulize kwanini hawaweki
  3. A

    JamiiForums Tanzania Kuna anayetumia GB WhatsApp anipe mrejesho?

    utawafikiwa tuu mkuu subiri
  4. A

    JamiiForums Tanzania UPDATE: Vifo vya Ajali Ngaramtoni vyafikia 25

    magari ya abiria na mizigo mwisho kutumika iwe miaka 10
  5. A

    JamiiForums Tanzania Mawazo yangu juu ya elimu yetu

    tembelea vijini uone watoto wanafanya shughuli gani wakifeli la saba
  6. A

    JamiiForums Tanzania Mawazo yangu juu ya elimu yetu

    tufanyaje kizazi hichi em njoo huku mburahati uone ao watoto wa sekondari
  7. A

    JamiiForums Tanzania Mawazo yangu juu ya elimu yetu

    Habari wakuu Mwanzo kwangu msingi wa maendeleo katika jamii ni migongano inayozaa kutokukubaliana au kukubaliana baina ya mtu na nafsi yake, Mtu na Mtu, jamiii kwa jamii au Taifa kwa Taifa migongano hiyo hutokana na huelewa wa mtu juu ya mambo mbalimbali huelewa huja kwa kutengenezwa na kukuzwa...
  8. A

    JamiiForums Tanzania Safari za Rais Samia nje ya nchi

    duuuu em toa uchizi umesomea ujinga shule, kwa magu atujawahi kuwa na mfumuko kama huu wala fedha kukosa thamani unashika ten kama buku sokoni, uo uchumi unaosema ni role ya watu wachache sio watanzania, wezii samia na watu wake wana tudhulumu haki zetu
  9. A

    JamiiForums Tanzania Safari za Rais Samia nje ya nchi

    kariakoo kwa wakimbia kodii? apo sokoni kila nikidai risiti naambiwa sio lazima kununua apa nafukuzwa maduka karibu kumi toka mwaka juzi December till leo
  10. A

    JamiiForums Tanzania Safari za Rais Samia nje ya nchi

    lbdaa maraisi wa developed state ndio wanafanyiwa izo analysis sio kwetu wachumia tumbo, kikwete alikuwa hivi hivi faida gan unaweza kuzipima kwenye maendeleo ya watu kipindi chake ?
  11. A

    JamiiForums Tanzania Watanzania bila fimbo hawaendi, wamezoea kupelekeshwa

    niko hapa nafanya kwa nafasi yangu na nitaendelea kufanya
  12. A

    JamiiForums Tanzania Watanzania bila fimbo hawaendi, wamezoea kupelekeshwa

    Duniani tumeombwa tofauti tofauti yaani watu kutoka Ulaya swala la uwajibikaji utu baina yao na nchi zao ni wa kuzaliwa na kuuishi kutoka wanakuwa katika familia zao. walivyo leo na nguvu yao ni matokeo ya uwajibikaji wao, unaposikia china au America ama nchi yoyote ulaya inasheherekea miaka 100...
  13. A

    JamiiForums Tanzania Tatizo la ajira: Sekta binafsi inatumia upepo wa "Volunteering" na "Internship"

    vyuoni kumeoza kaka walimu wenyewe njaa vifaa amna vikiwepo avitoshi necta wanazidi kumimina wanafunzi vyuo avina ubavu wa kujiendesha na kuhudumia kufundisha na kutoa competent students ni theory tu zimejaa uko
Back
Top Bottom