Lakini katiba inasema kama ameupata urais mtangulizi wake akiwa hajafikisha nusu ya muhula basi ataruhusiwa kugombea kipindi kimoja tu, maana yake kama Magufuli angekuwa amefikisha miaka miwili na nusu katika ile mitano ndiyo angeruhusiwa kugombea awamu mbili. So kwa mujibu wa katiba haruhusiwi.
Hili nimeanza kulizingatia mkuu...ni kweli nilikuwa nawaamini baadhi ya watu na kuwapa baadhi ya mipango ya mambo niliyokusudia kufanya nikiamini vijana wenzangu hawawezi kuwa na roho hizo ila kuna mtu amenisanua kuwa huenda hao niliowahi kuwashirikisha mambo yangu wanaweza kuhusika kwa namna...
Kuna mtu mmoja aliniambia huenda kuna watu wamepiga pini harakati zangu kwa namna ya nguvu za giza ila mzazi wangu ananiambia nisiamini sana hizo kauli
Mzazi yupo mmoja (mama) huwa mara nyingi ananiambia ni ishu ya muda itapita tu lakini naona imekuwa kwa muda mrefu sasa. Kifupi yeye anaiona kama changamoto ya kawaida sana tofauti na uhalisia ninaoupitia mie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.