Recent content by azariah gody

  1. A

    Watu 9 wafariki dunia katika ajali iliyohusisha Hiace inayopeleka Magazeti Mbeya

    Miaka ya nyuma nimepanda gari ya gazeti toka mbeya tupo kitonga dereva ananiambia nimpigishe stori usingizi usimpitie......wapumzike salama walotangulia
  2. A

    Hifadhi ya Rubondo yageuka kitega uchumi kwa askari game

    Hii kwao kawaida kuuwa wakihisi watawatia hofu vijana kuingia hifadhini...
  3. A

    Maswali kuhusu GPS Trackers

    Nikipata ugumu mwingine nitawasilisha hapa hapa mnisaidie
  4. A

    Maswali kuhusu GPS Trackers

    Shukrani sana kiongozi umenifungulia mengi sana
  5. A

    Maswali kuhusu GPS Trackers

    Shukrani sana Vipi kuhusu distance ya jinsi chombo chako kilivyotembea inaweza kutuma taarifa za mwisho ( hii inakuja pia kwenye swala la kujua kiasi cha mafuta kilichotumika kulingana na mwendo). Je, zipo tracker ambazo zinanguvu zaid kias ya kufanya kaz hata kwenye sehem yenye mtandao...
  6. A

    Maswali kuhusu GPS Trackers

    Habari wanabodi, kuna maswali ningependa niyafahamu kuhusu GPS TRACKERS... 1.Je hizi google maps ili kujua mahali chomba chako kilipo? 2. Je inaweza kusoma maeneo yoyote chombo chako kilipo hata kama ni porini? 3. Itanipatiaje uhakika wa kupata chombo changu mfano kama kimeibiwa ( jinsi ya...
  7. A

    Kukopesha kwenye biashara

    Ukikopesha ndio kama umemfukuza huyo mteja humuoni tena
  8. A

    Nimeponyeka kutapeliwa na rafiki wa facebook

    Aaaah wengi sana hawa mbona
  9. A

    Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    Kuingia field kufanya research kwanza kabla hujaingiza pesa....... Ngj nikupe mfano kipindi hicho mie nafatilia hii ishu nilikuja gundua kuwa usafiri utanisumbua especially kuelekea mwanza sasa je ningeamua kuingia moja kwa moja na cash nikachukua mzigo kabla ingekuwaje zaid ya kupoteza
  10. A

    Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    Mirejesho itakuja ni swala la watu nao kufanya research zao pia kabla ya kuanza
  11. A

    Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    Hata kwa wale wa mwnza pia kuna kiwanda cha nyama misungwi kuna muda walisitisha ila sijajua kama wanaendelea hivi sasa ama lah
  12. A

    Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

    Kwa hii part III Nashauri upewe nishani ya ubrigedia kabsa ukaliwakilishe taifa afghanstan
Back
Top Bottom