Sikumbuki ni mwaka gani lakin huyu nyoka nishakutana nae juu ya mti wa mpera,kwa bahati nzuri nlikua na panga sa ile nmemwona akiwa karibu yangu lile shina alokuwepi nikaligonga na panga akaanguka chin akapotelea kweny majani
primary nlikua maarufu kwa sababu nlikua na nywele za kipilipili shule nzma,nywele hazichaniki hata kwa dawa pia nlikua na viakili kidgo vya darasan...secondary ile nimeenda kuripot form one siku ya kwanza nkakuta darasa lipo kimya limezubaa zubaa nkajifanya born town nkawapigia kelele kumbe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.