Recent content by ayubu.maenge

  1. A

    Mlipuko Arusha: Watu 8 wakamatwa, wamo raia wanne wa Saudi Arabia

    Habari za leo wenzangu katika jukwaa hili,kwanza na wapa pole sana kwa yalio tokea Arusha,yanasikitisha sana.Wengi wamesema ni udini na wengine wamesema ni siasa.Tanzania tunayo ijua sisi vijana sidhani kama kuna mtu anazungumza kuhusu udini but nashindwa kuelewa kwanini linapendwa sana kurudiwa...
  2. A

    baraza la mitihani kazi mnayo

    Kwa habari nilizo zisikia ni kua baraza la mitihani wanatakiwa kurekebisha mitihani ya kidato cha nne iliyofanyika mwaka jana na kutoa matokea mabaya,je mchakato huu utazingatia muda kweli,ili watahiniwa waweze kujiandaa kwa kidato cha tano?
  3. A

    members

    What's up members I like the way mnavyo post here but do you think this can helf our country?
  4. A

    hivi kwanini tanzania hatuna mpangilio kwenye tv zetu?

    Tanzania haina mpangilio wowote kwente vipinndi wanavyorusha,haijulikani tv gani inashughulika na michezo tuu na ipi inashuhulikia habari nimchanganyiko tuu,yaani kipindi juu ya kipindi.Kwa mfano tbc ina tv mbili kwanini moja isiwe ya michezo tuu?yaani hata ligi yetu tunashindwa kuona? Leo timu...
  5. A

    Digitek na Mengi wanacheza na hela za watanzania

    Halafu wanataka wakate tv zao kwenye startimes!
Back
Top Bottom