Recent content by ayoli

  1. A

    Wake mlioolewa: Kama unaishi na mdogo wako wa kike hapo kwa mumeo kaa ukijua mna-share

    Haya mambo yaacheni tu kama hayajakutokea huwezi amini kuwayanatendeka,, sisi mdogo wetu alijazwa mimba kabisaa na lishemeji letu limemuoa dada yetu na tena wote ni Walimu...
  2. A

    Wana JF njooni mnipe ushauri naangamia

    Wewe chukua maamuzi ya kuhama mji asikuone mahali ulipohamia na ikiwezekana usimwambie mtu yeyote wa karibu yake akajua ulipohamia atakufuata,,,usithubutu kumpokea na kuishi na mke wa mtu hata kama sio mmewe si mwanajeshi...
  3. A

    Siku hizi wanawake huchoka mapema sana wakati wa kufanya mapenzi

    TENA Tena hutu tusichana twa chuoni twajifanya tunajua saana mapenzi kumbe hamna kitu. Ukikaona kwa nje kazuri kwelikwel tena kanavutia sas kachukue ukapelekee moto vinaishia kulialia tu na kujifanya kameumia kumbe holaaa. Halaf wpo wengine ukiwa umemuwashia motoo saana anainua kichwa...
  4. A

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    weee jamaa shenz kabisaaa eti karibia bao la nyetoo😁 😁😁😁😁😁😁
  5. A

    Love at first sight

    Joanah umenikumbusha mika mingi sana iliyopita,,ilikuwaje kwangu binti alikuja ofsin kuleta barua ya maombi ya kazi siku tu nimemuona alipoingia ofsini nikasema huyu ananifaa kuwa mke. Nilimhoji vimaswali vya hapa na pale kutaka kujua machache nikamwambia maneno matatu tu, 'Nataka Mtoto Kwako'...
  6. A

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Daaaa una maswali mazuri ww hatar
  7. A

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    We jamaa afadhali umekuwa mkweli hicho pia hata mimi kiliwahi kunitokea manzi mmoja nimetoka zangu job usiku kama saa 5 hiv nilipokaribia maeneo ya nyumban kwao nikamstua kwa mesej baadae nikampigia akaitikia nikamwambia mie niko njian nakuja nitakukuta? akajibu nipo basi nikachukua boda chap...
  8. A

    Wake za watu...

    Porti mbona mnawasema wake zetu vibaya? usijenerolaizi sio woote bhana wapo wengi tu wanaheshimu sana ndoa zao huyo mmoja asikupe jibu la jumla kuwa wake za watu wanatoka ovyo na wanaume wa nje sio hivyoo brother!! anyway nadhani ni mtizamo wako pia na ninashukuru kuadmit kosa hilo baada ya...
  9. A

    Mchengerwa: Maafisa Utumishi walioshindwa kuwapandisha vyeo waliostahili washushwe vyeo

    Nani ataratibu mpango huo mzuri kuwabaini maafisa utumishi wazembe? Wengi wao Mh.Waziri piga jicho kwenye ofisi za halmashauri za wilaya kuna uonevu wa hali juu mno, eti baadhi wameambiwa wasubiri awamu ya mwakani??
  10. A

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    weee nae unashindwa nn sasa wakija wawili ndo vizuri unawalaza wote wawili kitanda kimoja wewe unalala katikat yao yule atakae guswa na joto lako piga siku nyingne hatakuja na rafik yake tena
  11. A

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    hao ndio mascta wakishua
  12. A

    Mke wangu usiku wa jana nusura aniue, angenipa kilema

    Binadamu tuna hatari sana mioyo yetu inawazamabaya tu siku zote
  13. A

    Wanawake wanaopenda kusuguliwa kucha wengi wao hufanya mapenzi na wasugua kucha

    Hahahahahahaaaaaa ukiwa na wivu hutaoa na hata ukioa utapata tabu na maisha maana mawazo yako hayatatulia juu ya usalama wa mkeo,ukiondoka asubuhi kwenda kazini unawaza tu sijui wale jamaa wasugua kucha wamefika home,sijui wauza vitu vya uzuri wamekuja kumuuzia mama yeyoo basi kutwa kucha mawazo...
  14. A

    Siasa za kilaghai za Polepole: Awamu ya Nne aliunga mkono Katiba Mpya; Awamu ya Tano alikataa, Awamu ya Sita anaitaka kwa gia ya Shule ya Uongozi

    Aende zake huko chato akajenge lichuo lao la uongozi kama anataka mbona wakat baba yao akiwa hai hakumshauri ujenzi wa chuo cha uongozi leo ameliona kwa kuwa yupo nje ya mkate mtamu kakome kbsa kajaamaa haka tena hakafai.
Back
Top Bottom