Haya mambo yaacheni tu kama hayajakutokea huwezi amini kuwayanatendeka,, sisi mdogo wetu alijazwa mimba kabisaa na lishemeji letu limemuoa dada yetu na tena wote ni Walimu...
Wewe chukua maamuzi ya kuhama mji asikuone mahali ulipohamia na ikiwezekana usimwambie mtu yeyote wa karibu yake akajua ulipohamia atakufuata,,,usithubutu kumpokea na kuishi na mke wa mtu hata kama sio mmewe si mwanajeshi...
TENA
Tena hutu tusichana twa chuoni twajifanya tunajua saana mapenzi kumbe hamna kitu.
Ukikaona kwa nje kazuri kwelikwel tena kanavutia sas kachukue ukapelekee moto vinaishia kulialia tu na kujifanya kameumia kumbe holaaa. Halaf wpo wengine ukiwa umemuwashia motoo saana anainua kichwa...
Joanah umenikumbusha mika mingi sana iliyopita,,ilikuwaje kwangu binti alikuja ofsin kuleta barua ya maombi ya kazi siku tu nimemuona alipoingia ofsini nikasema huyu ananifaa kuwa mke.
Nilimhoji vimaswali vya hapa na pale kutaka kujua machache nikamwambia maneno matatu tu, 'Nataka Mtoto Kwako'...
We jamaa afadhali umekuwa mkweli hicho pia hata mimi kiliwahi kunitokea manzi mmoja nimetoka zangu job usiku kama saa 5 hiv nilipokaribia maeneo ya nyumban kwao nikamstua kwa mesej baadae nikampigia akaitikia nikamwambia mie niko njian nakuja nitakukuta?
akajibu nipo basi nikachukua boda chap...
Porti mbona mnawasema wake zetu vibaya? usijenerolaizi sio woote bhana wapo wengi tu wanaheshimu sana ndoa zao huyo mmoja asikupe jibu la jumla kuwa wake za watu wanatoka ovyo na wanaume wa nje sio hivyoo brother!! anyway nadhani ni mtizamo wako pia na ninashukuru kuadmit kosa hilo baada ya...
Nani ataratibu mpango huo mzuri kuwabaini maafisa utumishi wazembe? Wengi wao Mh.Waziri piga jicho kwenye ofisi za halmashauri za wilaya kuna uonevu wa hali juu mno, eti baadhi wameambiwa wasubiri awamu ya mwakani??
weee nae unashindwa nn sasa wakija wawili ndo vizuri unawalaza wote wawili kitanda kimoja wewe unalala katikat yao yule atakae guswa na joto lako piga siku nyingne hatakuja na rafik yake tena
Hahahahahahaaaaaa ukiwa na wivu hutaoa na hata ukioa utapata tabu na maisha maana mawazo yako hayatatulia juu ya usalama wa mkeo,ukiondoka asubuhi kwenda kazini unawaza tu sijui wale jamaa wasugua kucha wamefika home,sijui wauza vitu vya uzuri wamekuja kumuuzia mama yeyoo basi kutwa kucha mawazo...
Aende zake huko chato akajenge lichuo lao la uongozi kama anataka mbona wakat baba yao akiwa hai hakumshauri ujenzi wa chuo cha uongozi leo ameliona kwa kuwa yupo nje ya mkate mtamu kakome kbsa kajaamaa haka tena hakafai.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.