Hayo hayakuanza leo, kama historia inaonyesha hata Mfalme Daudi alimtamani mke wa huria. Wajua, kama wake wangekuwa wanyimi nadhani wengi wangeacha haka ka.. 'Mwana FA alisema, ukigongewa na wewe tafuta mnyonge wako...
Kila raia ni lazima alipe kodi isipokuwa makundi maalumu ambayo ni watoto walio na umri chini ya miaka 18, wazee wenye umri zaidi ya miaka 60 na ambao hawana ajira, walemavu wa viungo ambao pasipo shaka ulemavu wao hauwawezeshi kufanya kazi yeyote inayoingiza kipato. Zaidi ya hao, yeyote atakaye...
Tabia za wanaume kuzaa na wake za wenzao (ama wake kuzaa na waume za wenzao) zimekithiri sana Tanzania. Jeuri hiyo hususan kwa vingunge inasababishwa na nini? Je ni muendeleo wa mabadiliko ya jamii ya Kitanzania au ni tatizo la soko huria?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.