WAUMINI WALIOSHAMBULIWA MSIKITINI, JUMUIYA NA TAASISI YATOA TAMKO.
Bismillahir Rahmanir rahiim
JUMUIYA NA TAASISI ZA KIISLAMU TANZANIA
Simu 0715536313 S.L.B. 2055 Dar es Salaam
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - 27. 7. 2017
Ndugu Wana habari tumekuiteni ili kupitia kwenu tuweze kuongea na...
We unataka wa kutetea waislam awe nani? Anachozungumza shekh ponda ni kweliii kabisa. Katika tukio hilo nothing to comments kama huna machungu na uislam. Toa siasa zako za kijinga katika suala hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Hazikutoshi wewe lissu ni muhenga aliyesema kikulacho kinguoni mwako. Sasa we mshabikie huyo anayesema kwa mdomo kuliko wa action ndo utaisoma namba [emoji35]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani katika watu wasio na uzalendo mmojawapo ni huyu jamaa yeye kwa kuwa ana uwezo wa kujikimu na familia yake ndo maana anaropokaropoka tu kwa sababu ya mambo ya kisiasa na ado watanzania wanajiona huyu mtu anaongea point, bila kujua effect ya maneno yake katika uchumi wa nchii hii. Hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.