Wilaya rorya ni kama imetelekezwa huduma zote ni hovyo. Wakazi wake ni masikini kupitiliza, najuta kuzaliwa roryo. Hatuna marupurupu za pembejeo, mashirika ya huma na hasasi za kiraia hazifiki huku. Yaan ni shida tupu
Acha kuongea uharo rorya ni sehem ya tanzania na wakazi wake ni watanzania halali. Wana haki ya kupata huduma zote za kijamii ikiwemo madawa. Nawasihi wanarory waache uchama na ukiritimba wa kuchagua wenye hela ilihali hawana uwezo wa kusimama na kuwatetea bungeni na hata kimataifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.