Recent content by awamuyetu

  1. awamuyetu

    Kwanini Diaspora wa USA huwa wengi wao ni kama wana matatizo ya afya ya akili?

    Uchizi wa ndugu yako ndo u generalise watu wote? una akili wewe? Yawezekana ndugu yako ana akili zake timamu ila wewe sasa kwa upunguani wako na kuombaomba kwako kunafanya umchukie ndugu yako na kuchukia wengine, fanya kazi pumbavu wewe😏😏
  2. awamuyetu

    Derby ya Kariakoo isiamuliwe na Mtanzania tena

    Unachokiwaza hakina maana yoyote kwa mpira wa Tanzania, viongozi wa hovyo wapo kila mahali nchi hii, haki itarejea pale ambapo kama taifa la wapenda soka wote wanaokwenda uwanjani watabeba silaha zao za baridi (sio za moto) na kuingia nazo uwanjani na waamuzi na mamlaka zikajua tunataka nini...
  3. awamuyetu

    Wanaume tukatae kufa mapema kwa sababu ya wanawake

    Na msumari wa mwisho kwenye jeneza uligongelewa kwenye 50/50 😭😭😭😭 Ukiangalia hiyo 50/50 yenyewe ni mazingaombwe 😭😭😭
  4. awamuyetu

    Tundu Lissu ana cha kujifunza hapa, Siasa siyo Uadui

    Chawa kama chawa kwenye uchawa wake
  5. awamuyetu

    Wanawake nisikilize, Mapenzi tu hayawezi kumbakiza mwanaume

    Tofautisha mapenzi na ngono mzee vinginevyo unatuchanganya
  6. awamuyetu

    Waziri mpya wa Mawasiliano, anza kazi na Azam Media. Wamepanga kutupiga kwenye vifurushi vipya

    Jiheshimu pimbi wewe🦡🦡🦡 pesa kidogo tu umeanza kutukana watanzania?! 🤔🤔 Kama una hela siuhame bongo 😏😏
  7. awamuyetu

    Israel kuivamia Lebanon ndo utakua mwisho wake watajutia milele

    Umejitahidi kuandika shairi refu, tuseme insha'Allah!
  8. awamuyetu

    Ni bima ipi ya afya bora kukata? Tupeane uzoefu na ushauri

    🤣🤣🤣 Unatamani ulazwe tena?
  9. awamuyetu

    Haudaiwi chochote na girlfriend wako

    🤣🤣🤣🤣
  10. awamuyetu

    Nusuru ndoa yangu

    Aisee watu wema kumbe bado mpo bhana 😀 😀
  11. awamuyetu

    Nusuru ndoa yangu

    Alooh! 🤨
Back
Top Bottom