ujafafanua mkuu vizuri kwa combination zipi? kama za sayansi, ada yao huwa kubwa sana kutofautiana na wa arts kwa kigezo cha practical, kiukwel ndugu kwa hyo pesa cjui kama kuna shule maana za o level zenyew zna gharama sana hata kama ni day, labda jarbu kweny mashirika ya kidini kama katoliki...
ujafafanua mkuu kwa combination zipi? kama za sayansi huwezi pata kwa sababu practical zinakula pesa sana....kiukwel shule nyng za advanc prvt ada yake inaanzia mil 2, kasoro zile zinazomilikuwa na mashirika ya kidini mf. makanisa ya katoliki huwa wanaada nafuu kdogo.
naomba kuuliza utaratibu wa libary ukoje hapo,muda wa kujisomea private ukoje ktk madarasa ni muda wowote utakao au kuna muda maalumu maana nilpita hapo duce naona kuna gate...sasa ndo naulza muda wowote hata nyakat za ucku unaruhuswa kuingia ndani ya chuo?
kawaida tu, na baada ya hapo story zikaendelea kama kawaida na tukikutana furaha ilikuwepo,sasa baada ya jibu ndo furaha na uchangamfu kwang umekuwa zero
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.