Recent content by Avicii

  1. Avicii

    Kujihusisha kimapenzi na vitoto vya miaka 16 hadi 22 ni tabu tupu

    Yaani acha tu mkuu Kuna mmoja nimempenda za ki kweli anachanganya kweli mara leo ana act ana hasira hataki kuongea na wewe wakati unamuona kabisa ana act sijui wanatakaga nini hawa
  2. Avicii

    Ukweli umebainika : Ndege za Marekani zilifanya Udanganyifu katika kulipua Vinu vya Nyuklia Iran

    Sio mchana mkuu hiyo b2 bomber haionekani na radar yoyote duniani ni ndege ambayo Haina mkia kwahiyo suala la kuvizia unajidanganya
  3. Avicii

    Tujadili kwa Umakini: Nani anateka na kwanini wanaotekwa ni wakosoaji wa utawala?

    Mi kilichoniuma ni wachokonozi kukamatwa wale jamaa walikuwa wanatema nondo mbaya kabisa
  4. Avicii

    Iran ana uwezo mkubwa kijeshi ana jumla ya askari 1,180,000 wakati Israel anayesifiwa kukicha anao 670,000 pekeyake

    Shida sio askari mkuu shida ni teknolojia na silaha za kisasa halafu hiyo unayemuita myahudi sio ni mmarekani
  5. Avicii

    KUWA makini na Hawa matapeli wameishaumiza watu

    Alafu zile faida yake ndogo ili update faida ya shilingi elfu nane kwa siku inakubidi uweke 300k. Wakati Mimi Nishavuta 11k kwa elfu kumi na sita tu maAttach files https://www.jamiiforums.com/attachments/upload?type=post&context[thread_id]=2313587&hash=536fc6dbb3b0fa98be61b06c48ff088cmbo kwa...
  6. Avicii

    Nimeshuhudia kwa macho yangu Denzel Washinton akizeeka

    Hapa ndo nakumb hapa ndo nakumbuka wimbo wa one direction uitwao night changes "we only get older baby now I've been thinking about it lately"
  7. Avicii

    FULL TIME: Young Africans SC 3-1 TP Mazembe| CAF CL |Benjamin Mkapa | 04.01.2025

    Afadhali hata na wewe umeona mkuu anataka kujifanya Messi wakati wenzie wapi wazi
  8. Avicii

    FULL TIME: Young Africans SC 3-1 TP Mazembe| CAF CL |Benjamin Mkapa | 04.01.2025

    Yanga waangalie mamelodi wasije wakamtamani mzize
  9. Avicii

    Leo naondoka kwa shemeji hata wanibembeleze vipi

    Mkuu ngoja niongezee na sukari kabisaa
  10. Avicii

    Kama kweli Mungu yupo, basi hana nguvu

    Wakoloni wameharibu sana waafrika na hizi dini zao za mchongo wamemuumba mtu ambaye hayupo na kujenga chuki baina yetu Leo hii tunachukiana kisa dini
  11. Avicii

    Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

    Kwanza nianze kwa kumshukuru Samia kwa kazi kubwa aliyofanya mpaka nimefanikiwa kuuona mwaka mwingine tena. Heri ya mwaka mpya ndugu mwandishi nipo hapa napata kinywaji ungeweka mwendelezo ingependeza
Back
Top Bottom