Dollar imepanda karibu ulimwengu woote jombaaa kwa kifupi America uchumi umekuwa stronger mfano mzuri ni Australian dollar tofauti ilikuwa few cents lakini sasa ni zaidi ya dollar 2 so sio kweli kwamba Tz sijui siasa no ni USA wame rudi mahali Yao
Mhhhh age yako ikoje na pia ulishawahi ku do? Maana usije ukawa unasema huja do for 5 yrs then kumbe hukuwahi ku do? Maana kweli ni ngumu japo inawezekana kukaa 5 yrs bila ku kugonga bila reasons??? Kwenye hiii gari nashuka!
Hata wewe ni wale wale tumwombe mungu bahati mbaya mkose ruzuku Hata TLp itakuwa nafuuuu mtakimbia bila kusema mafisi tu nyie hakuna Sababu yoyote oooh ujamaaaa!!! Ujamaaa Tz?
zzk ni maarufu na ataendelea kuwa maarufu ila Hana chakufanya kwa cdm kujenga Chama sio kazi rahisi Hata kidogo kwasasa atafaa ajenge Chama walau afikie kupewa ruzuku sana sana atsababisha upinzani Kati ya ukawa na ccm kuwa mkali zaidi Hata pale ambapo ukawa wangeweza kushinda ambapo ndio ili...
Zitto ingefaa sana akae kimya atulie bado anajina na Imani kwa wtz lakini anachokifanya sasa kinanifanya kuwa na maswali mengi mfano
Kweli anajitangaza nchini na kusema wagombea ubunge wahamie act swali hapa anadhani anaweza kuingia act Leo na kukijenga ghafla namna hiyo?
Pili gharama zoote hiZi...
Wanaweza kuzifanyia huku lakini watapata aibu kwasababu wananchi wengi hawatofika pia hatawezakuwapata wanafunzi kwenda kufanya maonyesho ni ngumu Sanaa
Ewura eti mmejipanga? Wapi always lazima mpangwe kila siku hadithi zile zile hamna lolote hopeless. Hapa mwanzo imeonyesha hamtaweza kudhibiti bei kwani bei za mikoani hamzijui eti mikoa mingine bei itakuwa tofauti kutokana na gharama za usafirishaji semeni hiyo tofauti au hamjui???
Hapa yafaaaa ndugu wabunge kesho asubuhi kazi yenu ya kwanza iwe kupiga Kura ya kutokuwa na Imani na Makinda mumtoe kabisa kwani yeye ndiye tatizo kubwa ndio Sababu job alitolewa ili yeye afanye matakwa ya wezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.