Recent content by Avaae

  1. A

    Dar: Sakata la Polisi kuuana wenyewe nje ya benki laacha sintofahamu

    Hao ndio askar wetu, hakuna weledi kabisa, mtu una silaha lkn akili haijatulia, wanajeshi na nyie achen dharau, hapo angetii amri wala kusingekua na matata, haya ni mabalaa yakujifanya mimi unanjua wewe
  2. A

    Ushauri: Ndoa yangu inaenda vunjika, badala ya ndoa sasa imekuwa ndoano

    Piga mzigo chini mkuu acha kuteseka maisha yenyewe mafupi sana
  3. A

    KISUTU, DAR: Kesi namba 457 (Jamhuri dhidi ya JamiiForums) yaendelea - Shahidi wa Pili atoa ushahidi wake

    Bora Jf wapate hakii yao tu maana nao wanachosha kwakuminya uhuru wa kujieleza humu mtandaoni mwao, sijui kupiga ban watu kama ndio sera yao au lah
  4. A

    Mnyika aibukia twitter, awalilia wabunge na wanachama wa CHADEMA wanaoshikiliwa Morogoro

    Haswa huyo boya mvaa miwani kama mchomea mageti anatakiwa ashikiliwe haswa maana katoka jela juzi tu hapa
  5. A

    CHADEMA hawana nia ya kukamata dola

    Kwahiyo pesa zakufanyia hayo mmegawa kwa Watanzania siyo?
  6. A

    Hatimaye TBA yamaliza utata juu ya "Expansion Joint", yatoa picha ya kuta zinazoonesha nyufa hazina madhara

    Wavuta bangi pale ufipa wanafanya maombi ili hizo ghorofa ziporomoke na kuua watu ili waitishe press kubwabwaja
  7. A

    Kubenea: Kweli kwa ulaji kama huu ni rahisi mtu kuachia ubunge? Yaani kirahisi rahisi tu?

    Kama hoja ndio hiyo atueleze na Nyalandu walimlipa bei gani....kua zwazwa kama Kubenea na Chadema yake inataka moyo
  8. A

    Kwanini Viongozi wa Serikali wameamua kuanza kumtembelea Tundu Lissu?

    Hivi kwani kumtembelea mgonjwa kuna ulazima wakulazimishwa? Hivi Tanzania nzima Lissu dio mgonjwa tu? Acheni wehu yeye juzi alisikika akilaum baadhi ya watu kutokwenda kumsalimu, sasa yeye nnaweza kusema anaumwa pengine akili zimeyumba weee uwekwe wapi
  9. A

    Lema na wenzie ndio watakaoiua CHADEMA

    Wanangoja 2020 wakifutika waseme tumeibiwa kura
  10. A

    Dar na New York zapewa tuzo

    Watoa tuzo kuna kitu wanataka sasa wameanza kutu fool
  11. A

    Nipo kwenye semina ya ndoa, hamna mwanamke mwenye chura hapa

    Hatuoi makalio, tunaoa brain na moyo tupate utulivu
  12. A

    Vijana wa kituo cha mafuta cha GBP mbezi acheni wizi

    Jamani kuna vijana wa sheli ya GBP branch ya mbezi aisee wanapiga sana wateja Mfano ni mimi mwenyewe nimepigwa saa kumi na mbili hii, wadau mnaohusika chukueni hatua vinginevyo ipo siku mtasikia kijana kavunjwa miguu
Back
Top Bottom