Urais Tz ni kama kumsukuma mlevi. Vita mashariki ya kati, huumizi kichwa kuhakikisha bei ya mafuta haipandi, wewe singizia vita, wananchi watapambama na hali zao.
Huumizi kichwa kuhakikisha uchumi unaacha kutegemea misaada ya nje, unasafiri nchi hadi nchi kuomba misaada, mikopo.
Huumizi kichwa...
Kichaa ni upi, hayawani ni upi? Ukichaa ninaouelewa si wa kuombea yeyote awe nao haijalishi ni kiasi kidogo kiasi gani. Mtu mpaka analazimika kutumia sawa, asiyetambua hatari anayolabilisns nayo. Si ukichaa wa kuutamani. Naona kuna wanaoongelea uraibu zaidi kuliko ukichaa.
8. Ilikuwa pendelezo, ambalo lilitolewa na likaafikiwa, ila kikao husika, hakikuihusu Tz ndio maana hakukuwa na muakilishi. Na kamavinsvyoelezwa, taarifa ilishaifikia Tz juu ya hilo wazo, sio kwamba pale mbele ya hadhara ndio Tz ilitaarifiwa.
Inawezekana unapumua kwa mdomo/koo unapolala, na pengine ukilala chali, ulimi unashuka na kuziba njia ya hewa, ndio unaishia kwenye maluweluwe ya mfumo wa mwili kukosa hewa. Hakuna bibi wala babu hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.