Recent content by Auz

  1. Auz

    JamiiForums Tanzania Kagame: Tshisekedi hajawahi kushinda uchaguzi nchini DRC. Alipewa madaraka kama zawadi

    Nyani haoni kundule! Yeye ana uchaguzi gani wa maana? Kongo inamhusu vipi wakati ana nchi yake?
  2. Auz

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba ana Chuki na Rais Samia na Anataka Kumchafua yeye na serikali yake na ndio maana anaongea Vitu bila kuweka Ushahidi wa Aina yoyote ile

    Kuna la kumchafua zaidi ya mauaji? Yaani hata aseme nini, afanye nini, mauaji ya WaTanzania, atakufa nayo!
  3. Auz

    JamiiForums Tanzania Maisha ya ubachela ni mazuri sana na yenye furaha.

    Mke ndio hazeeki? Ujiandae kumlipa msaidizi
  4. Auz

    JamiiForums Tanzania Maisha ya Mwanamke Mjini: Kujitegemea Bila Connection. Ni Kweli au Ndoto Tu?

    Inategemea ni kazi, au biashara gani. Pia inategemea taasisi gani, yenye uhitaji wa ujuzi au na uzoefu wako. Kwa ujumla Tanzania hakuna Sheria, zipo ila zinapuuzwa na mbadala wake ni hisia, na matakwa binafsi ya watu ndio yanachukua nafasi. Hivyo, taasisi za WaTz, ili uingie, ni lazima, ujuane...
  5. Auz

    JamiiForums Tanzania Ukweli: Rais Ruto aliogopa kumualika Rais Samia

    Hizo zote ni cha motto, funga kazi ni uuaji! Unausahau vipi?!
  6. Auz

    JamiiForums Tanzania Huyu ndio John Heche

    Hoja zote hazina ukweli, wachilia mashiko. Kukulia katika eneo lenye madini, na lililoghubikwa na umasikini, ni kichocheo la kila mwenye akili timamu kuwa kama yeye ili kuhakikisha rasilimali zozote., popote zinamnufaisha aliye nazo, sio kinyume. Kaanza kujihusisha na harakati miongo kadhaa...
  7. Auz

    JamiiForums Tanzania Nongo mwilini: Uhalisia wa mazoea uliopotoshwa

    Kuna taulo , ndogo sana za kujisugulia, mwili ukiwa na sabuni, au kwa mazingira yetu tungetumia dodoki, kutoa nongo katika mwili. Kwa wengi hatutumii, na bado tunashangaa kwa nini taulo linachafuka!
  8. Auz

    JamiiForums Tanzania Nongo mwilini: Uhalisia wa mazoea uliopotoshwa

    Shukran kwa somo murua! Hivi Tanganyika, tunaishi viwango sahihi vya Utu, au ubinadamu? Naona kimtazamo, kila jambo tunachakachua katika hali ambayo hata miili yetu hatuiui, hatuijali. Inatisha!
  9. Auz

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu huwa anaelewa Kingereza cha Nigeria?

    Kingine kinachochanganya ni cha Jamaica
  10. Auz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Penzi jipya mawasiliano ya zamani

    Kwa nini unayaeleza au kuyauliza haya hapa, Baraka ya kumuandikia haya na ukipata jibu ujue kama unavumilia au la. Kila ulichoandika hapa, muulize mhusika
  11. Auz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuingia kwenye Penzi jipya kunakuja na gharama ya kupoteza marafiki wa karibu

    Mapenzi hayana mtu mweusi au mweupe, kwao wote, muitikio ni sawa. Maandiko pia yamesema, mwanaume atamuacha baba na mama take na kuambatana na mkewe. Sasa wazazi wanawekwa mbali, sembuse rafiki?
  12. Auz

    JamiiForums Tanzania Ni aibu sana unakuta mkristo anaikandia Israel na US. Mabavu yao ndio ishara ya amani yako, hivi unadhania hawa radicals wanafurahia imani yako?

    Uliyoyataja yanafanywa popote duniani. Uchaguzi Pemba na Zanzibar, vitendo vya ubakaji vilifanywa na wanajeshi wanaopelekwa na ccm, kama ya mwaka jana Oktoba 29 pia, walibakwa, walilawitiwa na kuuwawa, na walioajiriwa na ccm. Hapo unasemaje? Ukristo au dini yoyote haihusiani na ama kuwaunga...
  13. Auz

    JamiiForums Tanzania Chongolo: Jana Lukuvi alienda hospitali, kisha akarudi kazini

    Ndio yale ya rais yuko vizuri anapiga kazi, kumbe kashafariki!
  14. Auz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Shukrani kwa mwanadada huyu wa JamiiForums. Alinishauri tatizo la mke wangu kutoshika mimba; wife kesha jifungua!

    Ndio udhaifu wa binadamu, fanya wema uende zako, usingoje shukurani!
  15. Auz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Shukrani kwa mwanadada huyu wa JamiiForums. Alinishauri tatizo la mke wangu kutoshika mimba; wife kesha jifungua!

    Hongera kwa kupata mtoto, nawatakia malezi mema kwake!
Back
Top Bottom