Recent content by Auz

  1. Auz

    Kipi kinasababisha barabara za New York kuwa na hali mbaya?

    Wizi mwingi, matajiri wenyewe ndio wa aina ya akina Trump, kila siku wanaishi kwa ulaghai?
  2. Auz

    Je, ulishawahi kukutana na hii hali?

    Wahudumu wa wapi hao wanaojali mteja? Maana Tz ni janga linapokuja suala la huduma nzuri kwa mteja! Hapa watoa huduma wako makini, mteja hayuko makini!
  3. Auz

    TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

    Pumzika kwa Amani! Pole na faraja kwa familia!
  4. Auz

    TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

    Clouds kuna stress au ni vipi, mbona wote wanasifiwa kwa ulevi?
  5. Auz

    Zanzibar: Watalii wanne kutoka Israeli watimuliwa Hotelini kwa kulalamika kuhusu gari kuandikwa "Free Palestine"

    Sawa kabisa! Walitakiwa waondoke wenyewe kabla ya kuanza kulalama! Dunia nzima imo kwenye mkwamo linapokuja suala linalowahusu wao, kana kwamba ndio binadamu pekee!
  6. Auz

    Hali aliyokuwa nayo Bob Risky baada ya kuhukumiwa

    Huyu umemtoa wapi? Unayemuiongelea kwa sasa ni kama mwanamke mrembo, mwenye maungo yote na weupe wa ngozi. Angalieni links hapo.
  7. Auz

    Nchimbi anaibua Mazuri ya Serikali dhidi ya Mabaya Machache, Makonda anaibua Mabaya Mengi dhidi ya Mazuri machache kati yao nani Bingwa wa Siasa?

    A Asiyejua kuwa Serikali haifanyi kitu ni nani hata ahitaji kuambiwa? Kwa ujumla WaTz ni wajinga, kwa sababu hao wote wawili wanawachezea shere, mbaya zaidi wanakubali kuchezewa! Wote ni takataka tu mpaka mwenyekiti wao!
  8. Auz

    Watu wengi wa Pwani hawajui kuzungumza kiswahili Fasaha

    Yaani kama ulikuwa mawazoni mwangu wakati nasoma!
  9. Auz

    Kwa mara ya kwanza nathubutu kugombea Ubunge

    Senear, kazi kweli
  10. Auz

    Kwa mara ya kwanza nathubutu kugombea Ubunge

    Wananchi
Back
Top Bottom