Wahudumu wa wapi hao wanaojali mteja? Maana Tz ni janga linapokuja suala la huduma nzuri kwa mteja! Hapa watoa huduma wako makini, mteja hayuko makini!
Sawa kabisa! Walitakiwa waondoke wenyewe kabla ya kuanza kulalama! Dunia nzima imo kwenye mkwamo linapokuja suala linalowahusu wao, kana kwamba ndio binadamu pekee!
A
Asiyejua kuwa Serikali haifanyi kitu ni nani hata ahitaji kuambiwa? Kwa ujumla WaTz ni wajinga, kwa sababu hao wote wawili wanawachezea shere, mbaya zaidi wanakubali kuchezewa! Wote ni takataka tu mpaka mwenyekiti wao!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.