Taifa haligawanyiki kwa jinsia,dini, kabila la wananchi wake. Taifa ni moja, likiunganishwa na uzalendo wa watu wake wenye uhuru wa kufuata dini yoyote ambayo ndiyo muhimu kuliko ushabiki mwingine wowote. Mbovys simba, yanga, yanakuzwa nakutakia kupewa umuhimu usiokuwepo. Msilipe Kodi, tuone huo...