Recent content by Auz

  1. Auz

    Huyu ndio John Heche

    Hoja zote hazina ukweli, wachilia mashiko. Kukulia katika eneo lenye madini, na lililoghubikwa na umasikini, ni kichocheo la kila mwenye akili timamu kuwa kama yeye ili kuhakikisha rasilimali zozote., popote zinamnufaisha aliye nazo, sio kinyume. Kaanza kujihusisha na harakati miongo kadhaa...
  2. Auz

    Nongo mwilini: uhalisia wa mazoea uliopotoshwa

    Kuna taulo , ndogo sana za kujisugulia, mwili ukiwa na sabuni, au kwa mazingira yetu tungetumia dodoki, kutoa nongo katika mwili. Kwa wengi hatutumii, na bado tunashangaa kwa nini taulo linachafuka!
  3. Auz

    Nongo mwilini: uhalisia wa mazoea uliopotoshwa

    Shukran kwa somo murua! Hivi Tanganyika, tunaishi viwango sahihi vya Utu, au ubinadamu? Naona kimtazamo, kila jambo tunachakachua katika hali ambayo hata miili yetu hatuiui, hatuijali. Inatisha!
  4. Auz

    Kuna mtu huwa anaelewa Kingereza cha Nigeria?

    Kingine kinachochanganya ni cha Jamaica
  5. Auz

    Penzi jipya mawasiliano ya zamani

    Kwa nini unayaeleza au kuyauliza haya hapa, Baraka ya kumuandikia haya na ukipata jibu ujue kama unavumilia au la. Kila ulichoandika hapa, muulize mhusika
  6. Auz

    Kuingia kwenye Penzi jipya kunakuja na gharama ya kupoteza marafiki wa karibu

    Mapenzi hayana mtu mweusi au mweupe, kwao wote, muitikio ni sawa. Maandiko pia yamesema, mwanaume atamuacha baba na mama take na kuambatana na mkewe. Sasa wazazi wanawekwa mbali, sembuse rafiki?
  7. Auz

    Ni aibu sana unakuta mkristo anaikandia Israel na US. Mabavu yao ndio ishara ya amani yako, hivi unadhania hawa radicals wanafurahia imani yako?

    Uliyoyataja yanafanywa popote duniani. Uchaguzi Pemba na Zanzibar, vitendo vya ubakaji vilifanywa na wanajeshi wanaopelekwa na ccm, kama ya mwaka jana Oktoba 29 pia, walibakwa, walilawitiwa na kuuwawa, na walioajiriwa na ccm. Hapo unasemaje? Ukristo au dini yoyote haihusiani na ama kuwaunga...
  8. Auz

    Chongolo: Jana Lukuvi alienda hospitali, kisha akarudi kazini

    Ndio yale ya rais yuko vizuri anapiga kazi, kumbe kashafariki!
  9. Auz

    Shukrani kwa mwanadada huyu wa JamiiForums. Alinishauri tatizo la mke wangu kutoshika mimba; wife kesha jifungua!

    Ndio udhaifu wa binadamu, fanya wema uende zako, usingoje shukurani!
  10. Auz

    Msaada: Mtoto wangu anatukana sana matusi ya nguoni nifanyaje ili aache?

    Kukaa kimya haitamsaidia, inabidi ajue kuwa hayo maneno si mazuri!
  11. Auz

    Timu ya TRA inanuka Simba, haifai kuhamasisha ulipaji kodi

    Taifa haligawanyiki kwa jinsia,dini, kabila la wananchi wake. Taifa ni moja, likiunganishwa na uzalendo wa watu wake wenye uhuru wa kufuata dini yoyote ambayo ndiyo muhimu kuliko ushabiki mwingine wowote. Mbovys simba, yanga, yanakuzwa nakutakia kupewa umuhimu usiokuwepo. Msilipe Kodi, tuone huo...
  12. Auz

    PostGE2025 Rasmi Kesi iliyofunguliwa na TLS kupinga amri ya IGP kuzuia watu kutoka nje Oktoba 29 imetupiliwa mbali na Mahakama Kuu

    Nilitamani kipindi kile jaji mkuu angechukua madaraka ya kupeleleza nani alitoa maagizo ya kuuwawa kwa wenye nchi. Maana hakukuwa na rais wala spika, sasa jaji mkuu kazi yake nini hasa tukiwa katika mpito? Kila mtu anaruka kuwa hana mamlaka hayo, walioua, walipata wapi mamlaka ya ukatili ule?
  13. Auz

    Ujio wa wazi viumbe kutoka sayari nyingine utaleta mapinduzi makubwa sana Duniani

    Hii nayo ni imani kuwa kuna viumbe watakuja duniani au imetoka wapi?
  14. Auz

    Kama ukifa unapaa mbinguni mtu akifa msilie ameenda mbinguni kwanini mnalia? Kama sio hivyo, basi mnatambua kuwa suala la kwenda mbinguni ni uongo

    Watu wanalia kwa kuwa mpendwa wao kaenda mbinguni au ni kwa sababu hawatamuona na kuwa naye kama walivyozoea? Wana haja gani ya kufukua makaburi wakati wanajua walichozika? Kinachomtoka binadamu ni roho au ni mwili?
Back
Top Bottom