Recent content by Auz

  1. Auz

    Chongolo: Jana Lukuvi alienda hospitali, kisha akarudi kazini

    Ndio yale ya rais yuko vizuri anapiga kazi, kumbe kashafariki!
  2. Auz

    Shukrani kwa mwanadada huyu wa JamiiForums. Alinishauri tatizo la mke wangu kutoshika mimba; wife kesha jifungua!

    Ndio udhaifu wa binadamu, fanya wema uende zako, usingoje shukurani!
  3. Auz

    Msaada: Mtoto wangu anatukana sana matusi ya nguoni nifanyaje ili aache?

    Kukaa kimya haitamsaidia, inabidi ajue kuwa hayo maneno si mazuri!
  4. Auz

    Timu ya TRA inanuka Simba, haifai kuhamasisha ulipaji kodi

    Taifa haligawanyiki kwa jinsia,dini, kabila la wananchi wake. Taifa ni moja, likiunganishwa na uzalendo wa watu wake wenye uhuru wa kufuata dini yoyote ambayo ndiyo muhimu kuliko ushabiki mwingine wowote. Mbovys simba, yanga, yanakuzwa nakutakia kupewa umuhimu usiokuwepo. Msilipe Kodi, tuone huo...
  5. Auz

    PostGE2025 Rasmi Kesi iliyofunguliwa na TLS kupinga amri ya IGP kuzuia watu kutoka nje Oktoba 29 imetupiliwa mbali na Mahakama Kuu

    Nilitamani kipindi kile jaji mkuu angechukua madaraka ya kupeleleza nani alitoa maagizo ya kuuwawa kwa wenye nchi. Maana hakukuwa na rais wala spika, sasa jaji mkuu kazi yake nini hasa tukiwa katika mpito? Kila mtu anaruka kuwa hana mamlaka hayo, walioua, walipata wapi mamlaka ya ukatili ule?
  6. Auz

    Ujio wa wazi viumbe kutoka sayari nyingine utaleta mapinduzi makubwa sana Duniani

    Hii nayo ni imani kuwa kuna viumbe watakuja duniani au imetoka wapi?
  7. Auz

    Kama ukifa unapaa mbinguni mtu akifa msilie ameenda mbinguni kwanini mnalia? Kama sio hivyo, basi mnatambua kuwa suala la kwenda mbinguni ni uongo

    Watu wanalia kwa kuwa mpendwa wao kaenda mbinguni au ni kwa sababu hawatamuona na kuwa naye kama walivyozoea? Wana haja gani ya kufukua makaburi wakati wanajua walichozika? Kinachomtoka binadamu ni roho au ni mwili?
  8. Auz

    Kukubalika, Kupendwa na Kuaminika kwa Rais Samia Ndani ya Serikali Yake na Kwa Wananchi Kumedhibiti Kabisa Uvujuja wa Siri za Serikali

    Uropoke uuliwe, Sifa yake kubwa ni kupotezwa, kama huo ndio uhodari wa mama yako, sawa
  9. Auz

    Nataka kuoa ila sina mahari, nimeamua kuitafuta kwa njia ya Kubet. Nina mtaji wa Tsh. 50k

    Mahari, ambayo ni jambo la wakati mmoja, inakushinda. Mtaishia vipi, gharama za maisha ni zaidi ya mahari.
  10. Auz

    Hivi, minimum requirement ya kuwa Mbunge Tanzania ikiwa labda Masters Degree ndo tutapata mabadiliko?

    Kazi nzuri ya kupitisha mafao ya wenza kana kwamba kwa rais kuwa madarakani hakumnufaishi mwenza wake? Kazi nzuri ya kutoa kings ya kutoshitakiwa watendaji ambayo kwa makusudi wanafinya Haki za wananchi! Kazi nzuri ya kutopitis mikataba mibaya, inayoeanyonya na kuwapoka wananchi rasilimali zao...
  11. Auz

    Kujisifia umaskini ni kutangaza uzembe wa wazazi wako. Sio sifa njema hata kidogo

    Yote ni ubatili na kupuliza upepo! Utajiri, uongozi, umaarufu, umasikini, ni nini? Wote tutasahaulika tu!
Back
Top Bottom