Recent content by Auz

  1. Auz

    JamiiForums Tanzania El Salvador yakamata tani 6.6 za cocaine, meli iliyobeba unga ina bendera ya Tanzania!

    Hongera kwa mama yao, nchi inavuma duniani kwa kila aina ya ujinga!
  2. Auz

    JamiiForums Tanzania Meli yenye Kupeperusha Bendera ya Tanzania yalipuliwa na Russia

    Wamesahau hata bendera yake inafanana aje!
  3. Auz

    JamiiForums Tanzania Natafuta Minada ya Mbuzi na Kondoo kwenye mikoa hii

    Kuna mnada Kibaha July 25 kwa mulap farms. Waangalie FB
  4. Auz

    JamiiForums Tanzania Mke wangu hana hamu ya kufanya mapenzi na mimi. Nifanyeje?

    Wa kuongea naye ni mhusika, hapa tutajuaje kinachomsibu? Alikeketwa?
  5. Auz

    JamiiForums Tanzania Natafuta mume umri kuanzia miaka 34 hadi 45 ili tumalizie pamoja maisha yetu yaliyobaki hapa duniani

    Hamkosekani takataka wa aina hii. Unamjua?!
  6. Auz

    JamiiForums Tanzania Mke wa Lissu kama anataka kumuona Mume wake aje Tanzania na siyo kujilalamisha kwa Wazungu huko wasioweza kumsaidia kitu

    Wewe ndio mkuu wa gereza? Walio hapa hawaruhusiwi kuonana naye, au mmebadili maagizo yenu?
  7. Auz

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anafanya Kazi kwa Taifa hili hadi Huruma zinanishika na kumuonea Huruma sana. Mungu aendelee kumlinda na kumpatia Maisha Marefu

    Urais Tz ni kama kumsukuma mlevi. Vita mashariki ya kati, huumizi kichwa kuhakikisha bei ya mafuta haipandi, wewe singizia vita, wananchi watapambama na hali zao. Huumizi kichwa kuhakikisha uchumi unaacha kutegemea misaada ya nje, unasafiri nchi hadi nchi kuomba misaada, mikopo. Huumizi kichwa...
  8. Auz

    JamiiForums Tanzania CRDB kuna wizi sana wa kuhamisha pesa za watu. Nilijua mimi tu ila nilinyamaza sasa yapata miaka 4

    Benki inayoshikana na ccm, unategemea nini?
  9. Auz

    JamiiForums Tanzania Matumizi mabaya ya pesa za umma naziona kwenye sherehe/kilele ya Utumishi wa umma

    Kula kwa urefu wa kamba
  10. Auz

    JamiiForums Tanzania Ili uenjoy maisha lazima uwe una uchizi kidogo kichwani mwako

    Kichaa ni upi, hayawani ni upi? Ukichaa ninaouelewa si wa kuombea yeyote awe nao haijalishi ni kiasi kidogo kiasi gani. Mtu mpaka analazimika kutumia sawa, asiyetambua hatari anayolabilisns nayo. Si ukichaa wa kuutamani. Naona kuna wanaoongelea uraibu zaidi kuliko ukichaa.
  11. Auz

    JamiiForums Tanzania Kosa hili la kidiplomasia la Rais Samia ndio lilisababisha mpango wa Dangote wa Refinery ubadilishwe kutoka Tanga na kwenda Mombasa

    8. Ilikuwa pendelezo, ambalo lilitolewa na likaafikiwa, ila kikao husika, hakikuihusu Tz ndio maana hakukuwa na muakilishi. Na kamavinsvyoelezwa, taarifa ilishaifikia Tz juu ya hilo wazo, sio kwamba pale mbele ya hadhara ndio Tz ilitaarifiwa.
  12. Auz

    JamiiForums Tanzania Sitarudia tena kulala chali baada ya haya mauzauza

    Inawezekana unapumua kwa mdomo/koo unapolala, na pengine ukilala chali, ulimi unashuka na kuziba njia ya hewa, ndio unaishia kwenye maluweluwe ya mfumo wa mwili kukosa hewa. Hakuna bibi wala babu hapo.
Back
Top Bottom