Hoja zote hazina ukweli, wachilia mashiko. Kukulia katika eneo lenye madini, na lililoghubikwa na umasikini, ni kichocheo la kila mwenye akili timamu kuwa kama yeye ili kuhakikisha rasilimali zozote., popote zinamnufaisha aliye nazo, sio kinyume.
Kaanza kujihusisha na harakati miongo kadhaa...