Amani iwe juu yenu
Mara Kwa mara nimejenga mazoea ya kunywa maziwa fresh,mara nyingi hunywa kiasi ya nusu Lita.
Baada ya kunywa baada ya saa Moja na kuendelea naanza kujamba Jamba Hadi nakosa raha Hali hii huendelea Kwa siku nzima yaani 24hours baada ya kunywa.
Je hii Hali ni kwangu tuu au...
Amani iwe juu yenu
Samahani wadau naomba Msaada wenu wa kumpata Huyu jamaa anaitwa MASSORO HUSSEINI KIVUGA
Alikuwa mwalimu Ngomeni sekondari muheza Tanga then akahamia galanos sekondari Iko Tanga Jiji baada ya hapo Sina taarifa zake rasmi ila yuko Dar.
Anapenda sana kugombea ubunge kura za...
Heshima kwenye wananzengo.
Mm ni mtumishi wa umma Sasa leo asubuhi nimejifanyia usafi kwa kujinyoa sehemu zangu za Siri upara swafi pamoja na makwapini then nikaenda kuoga then nikapigilia pamba safi na unyunyu Kwa mbaliiiii.
Sasa nataka kutoka wife kazinda mlangoni anasema leo hatoki mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.