Tunatakiwa kuanzia hapa kwa kudeal na vitu hivi vichache
Kwanza Akina Nani walikuwa kwenye kiakao.upelekezi uanze na hao.
Pili Sumu mwilini imeingia kwa mfumo upi consumption poison au katika mfumo upi
Ila polisi naombeni fanyeni upelelezi was Jambo hili kwa weledi mkubwa kabisa mrudishe...
Ndoto Ni mawazo ya mchana, .Prove this kaa na rafiki yako then ongelea kuhusu kumiliki gari bas siku hiyo au baada ya siku mbili utaota umenunua gari au rafiki yako amenunua gari.
Kuhusu kuwaota waliokufa halikadhslika Ni mawazo ya mchana juu ya watu hao
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi binafsi napongeza jitihada za serikali katika mapambano ya kiuchumi. Lkn isisahau ku link maisha ya watu na ukuaji wa kiuchumi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kujua Ni msukuma au muha essence yake Ni nini kwa ustawi wa Taifa Hili. Hatuna haja ya kujua Kiongozi wetu Ni wa kabila gani ili mradi anachapa kaxi kuwatumikia Watanzania
Tuna mambo mengi Sana ya kujadili yenye tija kwa Taifa hili.sio kujuana makabila. Mwalimu alipinga Sana Tabia km hiyo
Sent...
Nikupongeze Kaka Pascal kwa mawazo mazuri,binafsi nakuwa interested sana kusoma post zako kila ninapoona umeandika. Mimi Nilikuwa na Jambo moja ambalo nataka nishauri kwa hicho ulichokiandika
Kwamba suala uliloshauri Ni very sensitive Sana kwa usalama wa nchi yetu, na pia huenda umeenda deep...
Kuna kitu nakiona kipo. Mwananchi Msando sio mkurupukaji kuandika barua ile,Kuna msukumo wa nje wa kimbinu ukiachilia uzalendo ,huenda Kuna mpango unatengenezwa ili kujua km barua itajibiwa legally na mhusika ili kujua reaction yake upande wa pili itakuwaje. Hi Mimi kwangu naiita intermind...
Who is Paul Makonda to the extent we are impurifying our image as nation. In diplomatic way mh Paul Makonda anastahili kuchunguzwa na akibainika Basi afikishwe kwenye vyombo vya sheria. Hatuwez kuharibu mahusiano makubwa tuliyonayo Kama Taifa na nchi kubwa kiuchumi duniani Kama Marekani...
Hilo sio Jambo la kushadidia km tunavyofanya ndg zangu watanzania. Kupunguza misaada kwa nchi yetu km Taifa waathirika Ni sisi watu wa chini lbdavkm anayeshabikia Ni tabaka la juu. Ni ushauri tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sifa
*'Awe amesma kompyuta walau kwa kipind Cha miezi si chini ya mitatu
*Awe na umri wa miaka 18 had 25
*Awe mtanzania
* Awe tayari kufanya kaz kijijini
*Jinsia yoyote lkn wasichana watapewa kipaumbele
Nafasi Ni moja tu kwa mawasiliano 0657576122 Ni PM utajibiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.