Nataka kuanza biashara ya kutengeneza na kuuza unga wa lishe kwa watoto na wakubwa. Sasa changamoto nilonayo ni pa kupata vifungashio vya unga. Na pia soko lake nalifanya vipi ili niuze unga wangu vizuri. Na je process zikoje ili nipate vibali vya kuuza kwenye supermarkets. Any idea?ntashukuru
Mimi huwa kuna ndoto nikiota zinatokea kwel lakin mara chache sana. Na ndoto hizo zinakuwa zinanionesha kitu kibaya kitatokea kwangu na kwel kinakuja kutokea vilevile mpk najuta kwanini sikufata ile ndoto.Nikimkumbuka mtu au nikimuwaza na yeye lazima atanikumbuka atanipigia simu au nikakutana...
Habari wanajf...Naombeni mnishauri katika hii kitu ya kununua na kuuza hisa. Nina kama milion 5 nataka nijiingize katika ununuzi wa hisa. Nimesikia makampuni ya simu na mengineo yanauza hisa. Lakini sina uzoef kabisa katika hii issue.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.