Kama kunamtu aliyewai kupata mafunzo ya kazi tra Je kuna malipo yoyote? Malipo hayo hufanyikaje
Maana nimetoka mkoani nimefikia gest apa mjini alafu sielewi utaratibu wowote.
Elimu yako haijakusaidia mdau. Samahani kwa kusema ivo kwanza.
Upo kwenye utumwa wa kifikra emancipate yourself from mental slavery.
Haya madhehebu ya dini uliyoletewa na mkoloni ni mfumo tuu ulioandaliwa na some elite group of people "divide and rule" hutumuka ata kwenye siasa.
Ukimpenda mtu...
Jifunze kushukuru atleast unapumua, umekula leo mchana, una smartphone na umeweka vocha kuingia jf. Be grateful maisha ndo haya haya. Kama kunasehemu wanauza bangi karibu vuta ili u appreciate ulichonacho kwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.