Recent content by Augustino saqware

  1. A

    Ngeleja chaguo la Watanzania, Lowassa chaguo la CHADEMA

    Ungefikiri kidogo zaidi ya hapo ungekuwa na majibu juu ya hayo! Chadema hawawezi kumuunga mono Lowassa! We sema umeamua kumpigia debe Ngeleja
  2. A

    Ni kujindaganya kusema CHADEMA ni chama cha ukombozi, nao ni wasakatonge tu...

    Peleka falsafa ya ukombozi kwa wananchi kwanza, wananchi wakishawaelewa nguvu zitaelekezwa katika ujenzi wa ofisi, chama sio Majengo mazuri Bali ni wwnachama.
  3. A

    Gari la Lema lashambuliwa na UVCCM - Arusha

    Acheni cheap politics
  4. A

    Viwanja halmashauri ya mji wa babati

    Tupieni jaman hayo majina
  5. A

    Hakuna atakayeachia ngazi sakata la Escrow

    Wewe ndo umetumwa?
  6. A

    IPTL Saga: Serikali yamtaka Balozi wa Uingereza kuripoti Wizara ya Mambo ya Nje, Yatishia kumtimua

    Najiuliza masele naibu waziri Wa nishati na madini ndo MWenye dhamana ya kutoa tamko kuama hilo?
  7. A

    MPANDA: Baada ya mkutano mkubwa wa CHADEMA, Polisi yawapiga mabomu kuwatawanya

    Polisi waliopewa Kazi ya kulinda usalama Wa raia na malizao wanapokuwa chanzo cha vurugu jua ni dalili mbaya kwa taifa
  8. A

    Account ya ESCROW kuisambatisha UKAWA wiki ijayo

    Kwa nchi zilizokomaa kidemokrasia na viongozi wanawajibika kwa wanwnchi,kiongozi akituhumiwa huachia ngazi sio mpaka asubiri ripoti ya CAG
  9. A

    Mkutano was ACT-Tanzania Mwembeyanga wadoda

    Chama hakina misingi wala dira
Back
Top Bottom