tuna haja ya kufanya hivyo walimu kwa kuwa tunaipenda Tanzania.Hivi niulize swali, kwa hali inavyoendelea katika taifa,mfumuko wa bei,kupanda kwa gharama za maisha. Na hakuna juhudi zozote zinazochukuliwa kukabiliana na tatizo hili, Je! Tukiwapa tena miaka mitano itakuwaje??? Tunataka mabadiliko!!!
Tutambue siku zote msema kweli hapendwi popote, Utaendelea kusema na kunena kwa ushabiki lakini mtu mwenye akili inakupasa kuangalia ukweli wa mambo na namna utakavyoshawishi watu namna ya kuendeleya nchi na sio kutoa hoja zisizo na msingi. Kama mtanzania uliesoma inatakiwa utumie hata elimu...
Tukubali kudanganyika tu hakuna lolote tatizo makosa yanayotendeka hayaonekani lakini yana mahafa mengi ambayo yanachukuliwa kirahisirahisi na yanapotezewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.