Recent content by Augustine kavishe

  1. A

    Walimu Watakapoanzisha Kampeni Rasmi Madarasani Kuing'oa CCM

    tuna haja ya kufanya hivyo walimu kwa kuwa tunaipenda Tanzania.Hivi niulize swali, kwa hali inavyoendelea katika taifa,mfumuko wa bei,kupanda kwa gharama za maisha. Na hakuna juhudi zozote zinazochukuliwa kukabiliana na tatizo hili, Je! Tukiwapa tena miaka mitano itakuwaje??? Tunataka mabadiliko!!!
  2. A

    Tanzania ya enzi hizo katika picha

    natamani sana hata ningekuwepo enz hizo mazingira yalikuw yanavutia sana tofauti na sasa dah! Mungu ibariki Tanzania
  3. A

    Kuna sadaka zinahesabiwa kanisan KKT mpaka saa nane usiku jamani? Kweli ndoa ndoana!

    daaah! Kama ndoa ni hivyo mm akah! Bora nichukue tahadhari mwenyewe.
  4. A

    Wabunge wa CHADEMA ni mamluki wa CCM

    Tutambue siku zote msema kweli hapendwi popote, Utaendelea kusema na kunena kwa ushabiki lakini mtu mwenye akili inakupasa kuangalia ukweli wa mambo na namna utakavyoshawishi watu namna ya kuendeleya nchi na sio kutoa hoja zisizo na msingi. Kama mtanzania uliesoma inatakiwa utumie hata elimu...
  5. A

    Marekani yatoa ripoti ya ugaidi Tanzania yasifiwa sana.

    Tukubali kudanganyika tu hakuna lolote tatizo makosa yanayotendeka hayaonekani lakini yana mahafa mengi ambayo yanachukuliwa kirahisirahisi na yanapotezewa
  6. A

    Mbunge, Naibu Waziri watajwa mauaji ya kamanda Liberatus Barlow! Shuhuda ahifadhiwa kwa IGP Mwema...

    duh! Hii ni Tanzania inayoshika nafasi ya juu kwa kuwaua wanaofichua maovu kwel IGP ana kazi mwaka huu
  7. A

    Jengo la CCM Mtwara lateketezwa kwa moto

    Tuache uchochezi usio na msingi tunaomba source uchunguzi ufanyike tujue ni wakina nani na kwanini kama ni gesi sawa kabisa.
  8. A

    Jengo la CCM Mtwara lateketezwa kwa moto

    acha kubuni fanya uchunguz mr kuwa kama msomi
Back
Top Bottom