Recent content by Augustine Aloyce

  1. Augustine Aloyce

    DOKEZO PreGE2025 Lissu aondolewa Keko. Anapelekwa wapi?

    Kwa $2500 tu unauhakika wa kumiliki BST 1000 na ukaenda Dubai 🛫 kwa siku 4 utashukia 5 ⭐ Hotel utakutana na CEO wa project ya Beastborne Ecosystem 🎯 Uta experience vitu lukuki kwanzia mwanzo wa safari mpaka mwisho na ukiwa ndani ya Dubai. Nina uhakika utakula vyakula ambavyo hujawahi kula pia...
  2. Augustine Aloyce

    Blockchain Opportunities

    Unaweza kuichambua Pdf yenye page 40 hapa kwakuandika? Embu tuwe waelewa kama tunahitaji kujifunza kitu tunahitaji kuonyesha ushirikiano sio kwakutaka kile tunachohitaji tukipate kwa njia tuitakayo sisi.
  3. Augustine Aloyce

    Blockchain Opportunities

    Unafahamu Teknolojia ya Blockchain mkuu?? Kama ndio unaweza kutambua juu ya sarafu za kidijitali. Lakini kama hujui ni inbox 📥 nikupe mawasiliano upate Elimu hii kiundani...🤝
  4. Augustine Aloyce

    Blockchain Opportunities

    Zingatia Neno time left.. kama Mwezi mmj Tu nimepata BST 541 Zaidi ya 50% ya kile nilichowekeza.. baada ya 135 days nitakuwa na BST Ngp?
  5. Augustine Aloyce

    Hii ni kwaajili ya Wanaume tu

    Hata jeshini hakuna treatment ya uoga hata kama umezidiwa unaambiwa tunza risasi moja kwaajili yako ukiona yamekufika shingoni kuliko uwe kwenye mikono ya adui na kuteswa na kutoa siri za plan zenu bora kujilipua. Maisha ni zaidi ya kile tunachokijua hatupaswi kufunga vioo kwakuona maarifa...
  6. Augustine Aloyce

    Hii ni kwaajili ya Wanaume tu

    WANAUME AMBAO HUFANIKIWA KATIKA BIASHARA, KAZI NA MAISHA... Ni wale tu ambao hukubali kuishi tabia hizi 7 1. WANACHUKUA HATUA. Wasiofanikiwa Wengi wana ndoto, hupanga malengo na kuyaongelea lakini hawafanyi chochote. Wanaume Wanaofanikiwa Hawasubiri wakati sahihi, Wanachukua hatua...
  7. Augustine Aloyce

    SoC04 Tanzania mpya: Kutumia teknolojia ya Blockchain kukabiliana na Ufisadi serikalini na TRA

    Na hapo ndipo changamoto inapokuja lakini pia haiwezi kutuzuia watu tusiishi sehemu ya Teknolojia hii...
  8. Augustine Aloyce

    Kwanini Blockchain Si ya Wenye Pesa Tu, Ni ya Kila Mtu!

    Naomba uje inbox 📥 tupeane mawasiliano mkuu...
  9. Augustine Aloyce

    SoC04 Tanzania mpya: Kutumia teknolojia ya Blockchain kukabiliana na Ufisadi serikalini na TRA

    Yaani sio malipo tu Mkuu mifumo mingi inaweza kutumika ndani ya Blockchain na ikaleta mafanikio makubwa sana kwa taifa na kwa watu binafsi....
  10. Augustine Aloyce

    SoC04 Tanzania mpya: Kutumia teknolojia ya Blockchain kukabiliana na Ufisadi serikalini na TRA

    Tanzania bado sana kwenye mifumo ya Teknolojia hususani Blockchain...
  11. Augustine Aloyce

    SoC04 Tanzania mpya: Kutumia teknolojia ya Blockchain kukabiliana na Ufisadi serikalini na TRA

    Kwa Tanzania bado watu wanalenda kutengeneza mifumo ambayo wanatempa nayo kwaajili ya manufaa yao binafsi...
  12. Augustine Aloyce

    Kwanini utie huruma?

    Ndugu katika maisha Elimu haipigwi teke ni bora ungejua ni kitu gani unachoki-ignore The power of Blockchain technology gives you the freedom to make and receive money anytime, anywhere in the world. Tanzanians are accustomed to being the end consumers of everything, which is why we have to...
  13. Augustine Aloyce

    Kwanini utie huruma?

    Mimi siendi kuwaletea maendeleo mm ninachokifanya ni kukupa taarifa na namna ya kuzifanyia kazi taarifa hizo na utafiti ukiona inafaa kwa upande wako utajikomboa ukiona haifai basi wewe sio mteule unaweza kuendelea na Shughuli nyingine.
  14. Augustine Aloyce

    Kwanini utie huruma?

    Unahisi hii sio kazi??🤔🤔🤔 Au kazi ni nn?
Back
Top Bottom