ndugu zangu kwa hili la lamination msidanganywe...mimi vyeti vyangu vyote ni laminated, na nimetipia sehem nying wkt natafuta kaz, ikiwepo mahakamani, na mwisho nilipata kazi serikalini kwa kupitia procedure zote nikiwa na vyeti vyangu laminated bt sijawahi hata kuulizwa badala yake nilikua...
wakuu naomba mwenye information za kutosha anisaide hili: ni bank gani hapa Tz inayotoa mikopo kwa wanafunzi wanaohitaji kwaajili masters degree, na vigezo ni vip? TAFADHALI!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.