Recent content by Atwoki

  1. A

    Kuhusu DNA kupitia Ustawi wa Jamii

    Hivi kenya kupima DNA ni sh ngapi
  2. A

    Kilimanjaro kuna pisi sana

    Nitaftie mimi m 1 alie siriaz wa kuolewa kabsa mkuu
  3. A

    Unaweza kuelewa vijana kwanini wamekuwa wagumu hasa linapokuja suala la kuanzisha familia

    Dah mpk sas kazi ninayo na niko 28+ ila nasita kuingia kwenhe hii taasis ya ndoa !
  4. A

    Yamenikuta na mimi kwa mke wangu

    Dah bado najiuliza sana nioe au nisioe hawa viumbe duh
  5. A

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu hv 1xbet wanakata kodi
  6. A

    Unit 1 inaweza kujaza simu zaidi ya mara 50, kuchaji simu hakumalizi umeme kama wengi wanavyodhani.

    Je kipi bora kutumia jiko la umeme au gesi ,mm nipo kijijin Tsh 500 unapata unit 4
  7. A

    INAUZWA Uzi wa home appliances ndogo ndogo kama pasi, Cookers,a ir fryer, rice cookers, na vingine

    Weka bei za majiko madog y umeme. Y chin y lak 2 boss
  8. A

    Nina mpango wa kurudi darasani nikiwa na umri wa miaka 27 sasa

    Mkuu msaada kidgo mm n diploma natak kujiendelez kupta degree ,wazo nililo nalo nitafute open nisome au niende chuo kbsa ushauri hpo mkuu?
  9. A

    Recategorization against current salary

    Wakuu hv inachukua muda gani ,kubadilishiwa muundo na kupata mshahara mpya baada ya kutoka masomoni mfano mm ni mwalimu diploma natak kwenda kusoma degree ? Msaada hapo wakuu
  10. A

    Kipi bora kati ya kuwa na mahusiano na kuishi single?

    Duh niko njia panda nice nisioe!
  11. A

    Nikitaka kujiunga UTT Amis ni lazima niende ofisini kwao?

    Mkuu samahn namimi nataka nianze investment huko mfuko gan wakujiunga?
  12. A

    VPN gani nitaitumia?

    Windscribe vpn
Back
Top Bottom