Recent content by Atwoki

  1. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahusiano yako hayana afya kama unaishi na mtu anayeombaomba hela

    Bro hv ukikaa muda mrefu bila kufanya mapenzi wanasema kuna madhara je ni kwel, na vp kuhusu kuwa na mtoto umri gn mzur w kuwa n mtoto usivuke umri huo?
  2. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Tume ya Utumishi wa Walimu(TSC) na Utumishi wa Umma ngazi ya taifa watoe mwongozo kuhusu kero za walimu kubadilisha miundo (recategorization)

    Duh mm nina diploma in sec nataka kwenda kujiendeleza degree nawaza je baada ya kumaliza hawata nisumbua kweli kunibadilishia et wakuu ikoje hii?
  3. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuhusu DNA kupitia Ustawi wa Jamii

    Hivi kenya kupima DNA ni sh ngapi
  4. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kilimanjaro kuna pisi sana

    Nitaftie mimi m 1 alie siriaz wa kuolewa kabsa mkuu
  5. A

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa mawazo hapa unahitajika kwa mliofanikiwa katika hili

    Majifunza hapa
  6. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaweza kuelewa vijana kwanini wamekuwa wagumu hasa linapokuja suala la kuanzisha familia

    Dah mpk sas kazi ninayo na niko 28+ ila nasita kuingia kwenhe hii taasis ya ndoa !
  7. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yamenikuta na mimi kwa mke wangu

    Dah bado najiuliza sana nioe au nisioe hawa viumbe duh
  8. A

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu hv 1xbet wanakata kodi
  9. A

    JamiiForums Tanzania Unit 1 inaweza kujaza simu zaidi ya mara 50, kuchaji simu hakumalizi umeme kama wengi wanavyodhani.

    Je kipi bora kutumia jiko la umeme au gesi ,mm nipo kijijin Tsh 500 unapata unit 4
  10. A

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Uzi wa home appliances ndogo ndogo kama pasi, Cookers,a ir fryer, rice cookers, na vingine

    Weka bei za majiko madog y umeme. Y chin y lak 2 boss
  11. A

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Bado cku mbili
  12. A

    JamiiForums Tanzania Nina mpango wa kurudi darasani nikiwa na umri wa miaka 27 sasa

    Mkuu msaada kidgo mm n diploma natak kujiendelez kupta degree ,wazo nililo nalo nitafute open nisome au niende chuo kbsa ushauri hpo mkuu?
  13. A

    JamiiForums Tanzania Recategorization against current salary

    Wakuu hv inachukua muda gani ,kubadilishiwa muundo na kupata mshahara mpya baada ya kutoka masomoni mfano mm ni mwalimu diploma natak kwenda kusoma degree ? Msaada hapo wakuu
  14. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uamuzi wangu ni huu kwenye mapenzi

    Hujaoa
Back
Top Bottom