Recent content by Atukuzwe

  1. A

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Ndio tatizo la watanzania vitu vya msingi tunaleta utani mwingi, ametoa dira not necessarily ufuge unaweza umuulize other activity, cost analysis, market na mambo mengine, lets be positive once in atime, nashukuru mimi ni mfugaji wa kuku wa mayai ya kizungu ila wa kienyeji nilikuw nao pia wakafa...
  2. A

    Wakipinga kuvurugwa Upinzani Bungeni; CHADEMA watoka nje!

    yalivyo majinga eti mtu anathubutu kabisa kutamka eti tusikuone kwenye posho its as if wapo pale kwajili ya posho na sio maslahi ya wananchi waliowatuma,yani hiki chama sijui kitakufa lini am tired of it already
  3. A

    Natafuta Mchumba/Mume

    all the best dear mungu akutangulie
  4. A

    The Beauty of African Wedding

    very simple and beautiful wedding, no complications mara colour ya wedding, i ,love it
  5. A

    Viwanja vinauzwa mbezi luis vya bei nafuu sana

    sijakuelewa bado fafanua vizuri kabla sijakupigia nina uhitaji
  6. A

    Eti Dar Express limewaka moto?

    mwisho wa mwaka tuwe makini barabarani
  7. A

    Msaada jamani tumetekwa kasulu

    jana nilikuwa njiani kutoka kasulu kuja mwanza ila safari ilikuwa iwe ya leo baada ya juzi kukosa basi la golden inter city nilitaka nihairishe safari nije leo na hilo basi, namshukuru mungu kwa hili pia nawapa pole hao ndugu zangu yani hiyo njia sijui serikali iko wapi mi sielewi
Back
Top Bottom