Recent content by Atuganile Mmari

  1. Atuganile Mmari

    "Nitafutie kazi, ukinipatia kazi ntakuzawadia papuchi". Kuna yeyote kakumbwa na hil dhahama?

    Unakosea mkuu nina rafiki yangu alikuwa anafanya kazi bank na alikuwa anamsifia sana meneja lkn nina uhakika hajawahi kumla! Wakati mwingine ni maelewano mazuri tu!!
  2. Atuganile Mmari

    Vituko vya sekondari 1990s,wahenga tukutane hapa

    Mbona mambo hayo hata sisi wa miaka ya 2000 na ushee tumeyafanya?
  3. Atuganile Mmari

    "Nitafutie kazi, ukinipatia kazi ntakuzawadia papuchi". Kuna yeyote kakumbwa na hil dhahama?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vipi upande wako ulikubali au?
  4. Atuganile Mmari

    Natafuta kazi, nina elimu ya kidato cha nne

    Wananyonya sana hao jamaa,kwanini usimpeleke kwa fundi cherehani akajifunza kushona na ujuzi huo ukamsaidia maisha yake yote?
  5. Atuganile Mmari

    Naomba ushauri wa sehemu (mkoa/wilaya) ya kuishi

    Sikushauri kabisa kwenda huko!! Kama hujawahi kufika!! Lakini kama unapajua vizuri basi nenda
  6. Atuganile Mmari

    Ushauri: Nimeplay voice note ya mchepuko mbele ya mke wangu

    Kwani mkeo kasema nini kuhusu hizo voice note?
  7. Atuganile Mmari

    Leo tujuane mikoa inayoongoza kwa watu wafupi

    Sijui kama kuna mkoa una watu warefu wengi kama mwanza si kwa wanaume wala wanawake na wana asili ya miili mikubwa
  8. Atuganile Mmari

    It's more than pain

    Mwishoni mwa mwaka jana familia yetu ilipata furaha na kuyashuhudia matendo makuu ya Mungu ni baada ya dada yetu aliyekaa kwenye ndoa zaidi ya miaka 10 bila mtoto kubarikiwa na kupata mtoto.furaha hii imeyeyuka ghafla baada ya miezi 6 tu mtoto ameugua na hatupo nae tena.ameondoka binti yetu...
  9. Atuganile Mmari

    Ukurasa wa kujadili hot threads: Naanza na hii "Huyu ndiye mwanaume ninayemtaka"

    Nusu ya watanzania ni machotara. wachache waliobaki ndo walibahatika kuzaliwa na wazazi wa kabila moja! Hata wewe inawezekana ni chotara mwenzangu
Back
Top Bottom