It's more than pain

Atuganile Mmari

Senior Member
Mar 14, 2018
158
252
Mwishoni mwa mwaka jana familia yetu ilipata furaha na kuyashuhudia matendo makuu ya Mungu ni baada ya dada yetu aliyekaa kwenye ndoa zaidi ya miaka 10 bila mtoto kubarikiwa na kupata mtoto.furaha hii imeyeyuka ghafla baada ya miezi 6 tu mtoto ameugua na hatupo nae tena.ameondoka binti yetu mzuri, ndo basi tena hatuponae kabisa,ameondoka!!!!



"Pumzika kwa amani bby girl wetu"

"Mungu alitoa na Mungu ametwaa jina la bwana lihimidiwe"
 
Mwishoni mwa mwaka jana familia yetu ilipata furaha na kuyashuhudia matendo makuu ya Mungu ni baada ya dada yetu aliyekaa kwenye ndoa zaidi ya miaka 10 bila mtoto kubarikiwa na kupata mtoto.furaha hii imeyeyuka ghafla baada ya miezi 6 tu mtoto ameugua na hatupo nae tena.ameondoka binti yetu mzuri, ndo basi tena hatuponae kabisa,ameondoka!!!!



"Pumzika kwa amani bby girl wetu"

"Mungu alitoa na Mungu ametwaa jina la bwana lihimidiwe"
Poleni sana Mungu ana makusudi yake
 
Back
Top Bottom