Wengine dini inaruhusu mpaka wa NneInawezekana mume wa mtu kumpenda mwanamke wa nje kwa dhati kabisa ikafikia hatua ya kumfanya mke wa pili?
Please wanaume kuweni wa kweli hapa!
Mwanaume huwezi penda wanawake wawili,ikishafikia hapa hii ni tamaa na uongo mkamilifu tunza nadhiri yako tunza maisha yako.kuwa makiniNgoja wanaume wenye uanaume wao waje....
Eeeh,ndio naushauri juu umenipa...hahaha ahsante sana mkuu ila nna aleji na waume za watu.Mwanaume huwezi penda wanawake wawili,ikishafikia hapa hii ni tamaa na uongo mkamilifu tunza nadhiri yako tunza maisha yako.kuwa makini
Tumeshakuja mumu....things men doNgoja wanaume wenye uanaume wao waje....
Ndio ushajibu...?!Tumeshakuja mumu....things men do
Una aleji na wanaume wa watu!?You don't know what you are missing mumu, after all kumpata aliyekua completely single ni bahati, lazima upambane kumtoa mwanaume mmoja kutoka kwa mwanamke mwingineEeeh,ndio naushauri juu umenipa...hahaha ahsante sana mkuu ila nna aleji na waume za watu.
Za kuambiwa changanya na zako!!!Una aleji na wanaume wa watu!?You don't know what you are missing mumu, after all kumpata aliyekua completely single ni bahati, lazima upambane kumtoa mwanaume mmoja kutoka kwa mwanamke mwingine
Wanaume siku zote watabaki kua wanaume we are made to handle multiple affairs bila kuleta madhara kwa wahusika unless ukutane na mwanaume asiweza timiza majukumu yakeNdio ushajibu...?!
Hahahaaaa Atu, take it easy mamaZa kuambiwa changanya na zako!!!
Kwahiyo jibu ni YES...?Wanaume siku zote watabaki kua wanaume we are made to handle multiple affairs bila kuleta madhara kwa wahusika unless ukutane na mwanaume asiweza timiza majukumu yake
Nimemaanisha siwezi kuwa na mahusiano na mwanaume aliyeoa,.mwanaume hata mwanamke completely hayupo...ndio maana tunabebeana madhaifu yetu na kusonga mbele na safari.Una aleji na wanaume wa watu!?You don't know what you are missing mumu, after all kumpata aliyekua completely single ni bahati, lazima upambane kumtoa mwanaume mmoja kutoka kwa mwanamke mwingine
Ni msimamo na mtazamo mzuri mumu, lakini kuna mazingira na mazingira, na mpaka yatakapokutokea ukajikuta una date na mwanaume aliye katika ndoa ndio utaelewa.Nimemaanisha siwezi kuwa na mahusiano na mwanaume aliyeoa,.mwanaume hata mwanamke completely hayupo...ndio maana tunabebeana madhaifu yetu na kusonga mbele na safari.