Mr.DZUDZUKU, mi nakataa kabisa, licha ya kuchemka Mungano, bado hakutumia hekima katika sekta yake, ebu kumbuka majibu yake kwa wale vijana waliokosa mikopo 2013. Ingawa anaye kuja simfahamu vizu, pengine ataweza kido, hasa ajitahidi kusema na kujibu kwa hekima, Mh.Mlugo tumemfahamu kwa kusema...