Abdallah Hassan
Eneo la tukio ni mtaa wa Sima nyuma ya shule ya msingi Mzigu, kwenye nyumba za kilimo
Wilaya ni Nyamagana
Namba ya simu........
Tatizo ni waya kukatika
Tika siku ya alhamisi tarehe 24
Namba ya taarifa ni 0783722610
Mwanza
TANESCO Mwanza mnachokifanya sio uungwana hapa barabara ya SIMA mtaa wa Mgunda tumewapa taarifa tangu siku ya alhamisi waya umekatika upo chini hapo pembeni kuna shule ya chekechea
Kila mkipigiwa simu majibu yenu ni "Asante kwa taarifa tunashughulikia swala lenu"
Waya wenyewe upo wazi
Yaani wewe kweli kiazi
Inaonekana umepata akili kipindi cha JPM
Nikukumbushe
Kipindi unaona hilo tukio ilikuwa hivi
Bahada ya Mrisho Gambo na DC wake kumwagwa na Idd Kimantha kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa na Kihongosi kuteuliwa mkuu wa wilaya
Mkuu wa mkoa alipomaliza kula kiapo kwa rais ndio nae...
Yaani kama unajibu hoja kirahisi hivi ni bora ungekaa kimya tu
Hauwezi kusema"hilo tumelitolea taarifa leo kupitia clouds fm kipindi cha asubuhi"
Are you serious?
Ni wangapi wamekaa na kuisikiliza hiyo clouds fm?
Na tatizo limeikumba nchi karibu yote
Au hiyo taarifa mmewapa wanaosikiliza clouds...
Mbona simple tu
Kampuni kama ina mabasi matano wanatoa mawili au moja kwa latra ili abiria wanunue ticket kwenye mfumo
Au hata kama bus ni moja unaweza kutoa siti either 5 kwa LATRA ili ziingizwe kwenye mfumo
Kuna utofauti kati ya waziri mkuu na ofisi ya waziri mkuu
Kama haya yameidhinishwa na waziri mkuu hapo sawa Kassim Majaliwa inamhusu moja kwa moja
Kama yameidhinishwa chini ya ofisi ya waziri mkuu hapo wa kuwajibishwa ni watendaji wahusika,
Pamoja ya kuwa ni watia sign walivyoona mkwanja huo ni...
Kusema kweli yule dogo mhandishi wa habari alitakiwa kwanza awasiliane na mkuu wake wa kitengo
Kule ofisini kwake ndio wangemtafuta mkurugenzi
Shida ya dogo kakurupuka kumpigia mkurugenzi wakati bado hadhi yake ndogo
Ushasikia wapi akina Abdallah Mwaipaya wamejibiwa mbovu
Hapo ilikuwa...
Machinga anajulikana Kama mfanyabiashara ndogo ndogo, either kwa kutembeza mtaani au kukaa sehemu moja
Huyo unaemdhamilia hapo ni mkuli au mbeba mizigo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.