Vigezo ulivyovitoa vinatoa vinampa kiburi mwanamke husika na kujiona muda wowote atapata achokihitaji.
Na kukaa na kiumbe wa vigezo hivyo lazima uwe na moyo wa ujasiri sana. Always men are there to rule and not to be ruled na hapo ndiyo mambo yanapoanza huharibika hiyo Sheria ikienda ndivyo sivyo.
Kwenye negative things kama hizi huwa nyepesi sana kuzikamilisha ila positive things kama ajira huwa lazima upambane sana ili ukamilishe jukumu la kuipata
Nilichokiona kwenye maandishi yako ni hiki. Umepitia kwenye maisha yenye mapito magumu, na umefanikiwa.
Una ka uselfish flani ambako kwakuwa ulipitia magumu basi hata ulichokipata hutaki sharing nanukuhu, " Hutaki kuingia kwenye ndoa kwa sababu hutaki kugawana mali". Huwezi jua utakayempata...
Hakuna kumkimbiza huyo, unaendeleza ligi na wewe. Sasa ukimwacha nani ale hiyo kitu na huyo aliyempa chongo hawezi kumuoa. Safisha lenzi yake ili aone vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.