Dhuluma wanafanya sana msije mkasema nimeanzisha uzi kuwachafua waislam jaribu kufaatilia hata ulipo ukijaribu kufaatilia kwenye viombo husika watahonga hela utazungushwa mpaka unakata tamaa ili wenzako wasiwe na nguvu ya kufatilia au kudai
Sjaisingizia viongozi wajuu wa taasisi zao ni watu wabinafsi sana utakuta wananunua magari ya gharama huku watumishi wao hawawalipi kama wanafunzi wanaishi mazingira ya hovyo chakula ndio usiseme
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.