Hata mbuyu ulianza kama mchicha,ila mchicha haujawai kuwa mbuyu,..Endelea KUHISI.. Alafu Dec tulete bank statement zetu hapa.. za wewe Muandika B.plan, Nasisi Tunaosema kuandika B.plan ni UZWAZWA
Kiukweli B.plan haina uhalisi wa ukweli kwenye biashara, B.plan ni kama kula BigG mwanzo tamu mwishoni Inabaki mpira tu,Biashara ni kuanza then jiimalishe katika Marketing skills na Sales methods tu.
Matajiri tushaelewana,Maskini bado wapo gizani..
Hahaaaaaaa ndio maana kuna watu wamekuwa wakali sana humu ndani,Ni hii ndio maana maskini wameendelea kuwa maskini wakutupwa,Kwa sababu wanafundishwa kufanya vitu ambavyo haviwezi kukuza biashara zao hata kidogo.. Wenye Akili Tunaelewana haraka sana,Ila walio kalili hawawezi kuelewa kabisaaa.
Bila shaka wewe ni mmoja unaowaibia watu kwa kuwauzia business plan:p:p:D..
Achana na vi BP.. Anza biashara, Utapeleka BP (business plan) yako inayoonyesha faidaa kubwaa bank/saccos ili upate mkopo,NAKUAMBIA UTAUZA KANYUMBA KAKO KAMATOPE .
Kumekuwa na mafundisho mengi yanayosema ni vizuri kuandika busines plan kabla ya kuanza biashara/mradi,Lakin ukifuatilia kwa undani hakuna business plan hata moja ambayo huwa inaonesha kipindi cha hasara,Na ukifuatilia biashara nyingi hufa ndani ya mwaka wa kwanza,Na wakati huo mtu ana business...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.