Tatizo la ukawa rais atakuwa mchafu na serikali yake itakuwa chafu kwa sababu aliyowabeba nyuma yake ni makapi ya ccm (wachafu). Kwani kitendo cha lowassa kuwatafutia majimbo makapi wenzake ni ukweli kuwa ndilo tarajio la serikali yake. Magufuli ni msafi na walionyuma yao ni wasafi.
Mhe. Magufuli kauza nyumba na akajenga NYUMBA zaidi lakini Lowasa amefisadi Nchi akaleta nini? Hivi Chadema/Ukawa watakuja na point gani? Hivi Gamba/Fisadi watatohoaje maneno haya? Hivi uchungu wa ukawa kwa wananchi ni kuuza nchi kwa mafisadi? Kwa maana hii, lowassa/ukawa wakikosa urais uamuzi...
Hivi dr. Slaa na tundu lisu wamo kweli kwenye vikao hivyo? Lini gamba limekuwa kiwiliwili na lini fisadi limekuwa fukara hadi chadema/ukawa ikawa mtaji kwao?
Kweli chadema/ukawa mmenichanganya, hivi mhe. Tundu lisu yupo kweli? Mbona magamba na mafisadi ndiyo lulu chadema/ukawa? Hivi mmeandaa uongo gani tena kwetu wananchi?
Hilo ni gamba ambalo ccm ilitaka kulivua siku nyingi. Ganda la ccm ni mtaji kwa chadema. Hapa lengo ni kifanyike nini kuendelea kuwaficha mafisadi wa kubwa wa nchi.
Kama wajumbe wa ccm zaidi ya 2,000 wote walishindwa kutoa kura za malohani (lowassa) kwenye uchaguzi ujue wapambe wa lowassa na ukawa lengo lao ni fedha tu. Kula kwa lowassa/ukawa na kulala ccm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.