Mkakati wa Lowassa kuiangamiza CCM

Mkakati wa Lowassa kuiangamiza CCM

Karibu kahawa na halua na juice ya tende. Acha sasa siasa iwe hot. Aliye msafi CCM na ajitokeze hapa. Lowasa aliondoka na bado madudu makubwa kuliko Richmond yaliendelea.
 
Huu mwaka viziwi watasikia, mburululaz wataelewa na vipofu watapata kuona tena.

Heri mtu yule asiye na mashaka.....tehe hili movie kila mtu ana gombania u stelingi. Lets watch. Tehe
 
Safi sana mbinu nzuri hizi huu mwaka itafahamika tuu..ccm kwaherini
 
Huu mwaka viziwi watasikia, mburululaz wataelewa na vipofu watapata kuona tena.

Heri mtu yule asiye na mashaka.....tehe hili movie kila mtu ana gombania u stelingi. Lets watch. Tehe

Mkuu hakuna movie hapo ndo uone kumbe Ikulu patamu watu wako radhi kufanya chochote ilimradi tu waingie! Lakini wakumbuke Ni vigumu kwa Ngamia kupenya kwenye tundu la sinadano!hata kama atajaribu kichwa kitanasa na atakufa!!
 
only if unajua kwamba ccm ndio yenye tume na kila kitu within!! For that uchaguzi utaahirishwa, na watachukuliwa wagombea wengine, huelewi goli la mkono wewe!

unaona inawezekana kwa urahisi namna hiyo?
 
Mkuu hakuna movie hapo ndo uone kumbe Ikulu patamu watu wako radhi kufanya chochote ilimradi tu waingie! Lakini wakumbuke Ni vigumu kwa Ngamia kupenya kwenye tundu la sinadano!hata kama atajaribu kichwa kitanasa na atakufa!!

I just wanna watch ni kitu gani hasa kitafuata. Wazungu wanasema " Hostile Take Over " Lol
 
Upepo huu ni zaidi kimbunga, upepo mapadlock umepita, hii sasa ni dhoruba zaidi ya nungwi
 
Unaposema watachukua fomu za ubunge za tume halafu wakae nazo na wajitoe saa moja kabla muda wa kuzirudisha basi ujue kwa muda huo uliobaki haiwezekani mtu mwingine achukue form upya kwa kuwa muda hautaruhusu. Ila wakijitoa itakua faida kwa wale au yule aliebakia.

Jambo hili UKAWA walishatoa dawa yao ya kulizuia tena lilikuja humuhumu JF kuwa watatumia utaratibu wa kusainishana fomu mbele ya wakili ili yeyote atakayekiuka makubaliano kwa kukimbia kabla ya muda wanambufuza mahakamani mbinu hii wanaweza Kuitumia, ila kwa kuwa wao ni chama kongwe watakua advanced na mbinu zaidi!
 
Hahitaji kufichaficha,watajitokeza hadharani watatangaza kuhamia ukawa
na kura watapata kupitia ukawa,mpasuko kwa sasa uko wazi, upende mmoja kule; wa pili pale
wa tatu huko.Chezea sala wewe. Mungu anawachanganyia lugha.
 
Shughuli inogile!!!? hapo patamu.
Nyoka akikuuma mguuni atapafunga, akiuma kichwa utafunga wapi??!
 
"ufisadi ni mfumo" hii ni sabuni ya kutoa madoa kwa Lowassa, na wakati huo huo ni matope kwa CCM na wala sio issue kwa Dr. Magufuli. Tafsiri yangu ni kwamba ukiwa msafi ndani ya CCM na kwenye serikali yake lazima utafunikwa kwa uchafu wake, na dawa yake ni kuiondoa madarakani ili kuwe na mfumo usio na 'ufisadi' ili wananchi wapate maisha bora. Sasa wananchi watachagua mtu safi aliyefunikwa na uchafu, au kuondoa uchafu na kuongozwa na mtu safi aliyefunikwa na uchafu na sasa hana uchafu uliomfunika tena.
 
Ni wakati sasa wa tbc kuanza kumwita "waziri mkuu aliyesababisha kasha ya richmond" badala ya walivyokua wakimpamba kama kweli wana guts.
 
Huo mkakati ungefanyika kwenye mkutano mkuu wa ccm kwa kutoa kura za 'malohani' watanzania si chapati kukigeuza upendavyo.
 
Back
Top Bottom