Recent content by Athumani George

  1. A

    Siku Ya Velntine Ilianzaje?

    Happy Valentine's Day :)
  2. A

    Siku Ya Velntine Ilianzaje?

    Febrauary 14 ni mashuhuri duniani kama valentine day yaani siku ya wapendanao duniani. Siku hii imekuwa siku ya kufanya biashara na watu wanaitumia kujitajirisha na kufanya biashara zaidi. Lakini je unajua jinsi gani siku hii ilianza? Will appreciate your comments.
  3. A

    Kiama Youtube

    Ulichosema ni kweli. It's difficult to keep original content na si tu kuripost video za watu. Mimi najaribu na channel yangu. Nitafurhia kama wata wanaosoma hii wa subscribe na kutizama videos. www.youtube.com/dakika3
  4. A

    Usambazaji wa damu kutumia "Drone" itaanzishwa Tanzania

    Tanzania inajaribu kutumia technologia ya drones kuanzisha mtandao mkubwa kabisa kuliko yoyote duniani wa kusambaza damu na madawa kwa haraka na usamala kwenye maeneo ya mbali.
  5. A

    Matajiri wakubwa wa Tanzania

    Matajiri wa Tanzania na jinsi walivyopata mali zao. Kuna mtu asiyetajwa?
  6. A

    Tundu Lissu, Magufuli na kisa cha Bombardier Q400

    Katika siku chache zilizopita tumekua tukimsikia mwanachama mashuhuri wa chadema akiikosoa serikali ya Rais Magufuli kuhusu ununuzi wa ndege ya bombardier. Video inaprovide summary ya incident.
  7. A

    Jinsi ya kupika keki ya chocolate chips

    Jinsi ya kupika keki ya ndizi na chocolate chips Jaribu mapishi yafuatayo na ufurahie na familia na marafiki wako Keki ya Ndizi ikiwa na vipande vidogo vya chokoleti (chocolate chip) Viungo vya mapishi Hatua 1: Kutengeneza Mchanganyo Kikombe 2/3, vipande vidogo dogo vya chokoleti ya kawaida...
  8. A

    Hatari ya kunywa soda

    Wanaokunywa soda wataonja mauti mapema :D
  9. A

    Hatari ya kunywa soda

    Liquid zote zina ph, lakini ya maji ni 7 yaani neutral. pH ya soda ndio inasababisha kudhoofika kwa mifupa
  10. A

    Hatari ya kunywa soda

    Unywaji wa soda ina hatari nyingi kwa afya. Je, kwa nini, we as responsible Tanzanians allow this poisonous liquid to be advertised and consumed so freely? Tafadhali toa maoni yako.
  11. A

    Kwa nini Nane nane ni sikukuu?

    Hallo guys, kwenye episode ya pili ya dakika3 tuna discuss kwanini nane-nane ni siku ya mapumziko. Please watch and share your views. Peace
  12. A

    Best mobile games ulizowahi kucheza

    Nadhani kudownload cracks ni against policy ya jamiiforums
Back
Top Bottom