Recent content by ATA

  1. A

    GE2020 Nawaonea huruma madiwani na wabunge waliopitishwa kwa tiketi ya CCM

    Napata Shaka kidogo na uelewa wa hao wanaoshangilia matokeo ya uchafuzi huo wa demokrasia, uhuru na haki unaondelea nchini huku wakidhani kuwa wataepuka athari zake. Ni umbumbumbu na kukosa uelewa kwa kiwango kikubwa kabisa kushangilia uchafuzi huu. Athari zake zitamfika kila mtanzania bila...
  2. A

    Zitto: Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona

    Zitto, Ushauri mzuri sana. Wanakubali ushauri lakini?!
  3. A

    Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

    Kwa jinsi ulivyo hukupaswa kuweka avatar ya watu wenye akili kama hao.
  4. A

    Kama si siasa pekee, Elibariki Kingu(mb) hongera sana

    Huyo ndiye mbunge aliyeandika kutetea kuondolewa kwa fao la kujitoa uanchama kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii....ama kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa
  5. A

    Ikulu: Rais Magufuli apokea ujumbe kutoka kwa Kagame. Akubali kupeleka Rwanda walimu wa Kiswahili

    Rwanda ni sawa mkoa wa Tabora uugawe mara tatu Morogoro ni kubwa karibu mara mbili na nusu ya nchi ya Rwanda; Rwanda ina sqkm 26,338 wakati Morogoro ina sqkm 70,624
  6. A

    Haijapata kutokea, licha ya majigambo ya ukusanyaji ni 34% tu ya fedha za maendeleo ndo zimepatikana

    Maana yake ni kuwa mpaka sasa ni asilimia 13 tu ya bajeti ya serikali 2016/17 ya jumla shilingi za kitanzania tr.29.5 ndo imekwenda kwenye shughuli za maendeleo
  7. A

    Salamu za Trump kwa maraisi wasioheshimu mikataba

    Labda mkataba wa Symbion power na Tanesco.
  8. A

    Tanzia: Nasikitika kuwatangazia kifo cha Baba yangu kipenzi

    Sote ni wa Allah na sote tutarejea kwake, Mungu awape moyo wa subra.Poleni sana
  9. A

    TANZIA Waziri Celina Ompeshi Kombani afariki dunia

    Sisi sote ni wa Mwenyezi Mungu na sote tutarejea kwake, pole sana kwa ndugu, jamaa na marafiki na wote walioguswa na msiba huu, Mungu awape moyo wa subra na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu. Mwenyeezi Mungu amsamehe na yote aliyotanguliza, nasi atujaalie mwisho mwema.
  10. A

    TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

    Sote ni wa Allah na sote tutarejea kwake, tunaomba Allah akusamehe madhambi yote uliyotanguliza nasi atujaalie mwisho mwema.
  11. A

    Nafasi ya kazi: Mhudumu wa ofisi

    Depretty, e-mail address nimeweka kwenye post namba 1 ambayo ni: atamuti@gmail.com
  12. A

    Nafasi ya kazi: Mhudumu wa ofisi

    Kama ulivyoshauriwa na Mkuu Glory Amboce kwamba we tuma CV yako pengine inaweza kushawishi zaidi kuliko mtu mwenye elimu ya diploma. Kwa taarifa tu ni kwamba mpaka wenye elimu ya shahada ya kwanza wametuma cv zao, Huwezi kujua nini kinaweza kutokea.
  13. A

    Nafasi ya kazi: Mhudumu wa ofisi

    Wakuu CV zinaendelea kupokelewa hadi Jumapili tarehe 28/6/2015 kwa nafasi hiyo ya uhudumu wa ofisi. Anahitajika mwenye diploma ktk fani yoyote kwa sababu mbali na kazi za uhudumu wa ofisi pia itakuwa rahisi kwa taasisi kumfundisha 'other clerical works'.Lakini pia kumpandisha kwenye level...
Back
Top Bottom