Mimi nadhani, ni vema tukayaacha hayo mambo yaendelee bila kujali serikali imetumia budget ipi coz kuyajua hayo yanahitaji taaluma na kuijua hiyo budget yenyewe ya mwaka huu. Naimani CAG yupo macho, mwakani atatuambia which is which kama mtoa mada alivyouliza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.