Recent content by asururu

  1. A

    AFCON 2017: Guinea Bissau ni mbovu kuliko hata Taifa Stars

    Naangalia hii mechi ya Gabon vs Guinea bissau. Siamini kama Taifa stars ni mbovu zaidi ya hii Guinea bisau. Sijui hawa jamaa waliqualify vipi?
  2. A

    Ununuzi wa ndege 6 ulipangwa bajeti ipi?

    Mimi nadhani, ni vema tukayaacha hayo mambo yaendelee bila kujali serikali imetumia budget ipi coz kuyajua hayo yanahitaji taaluma na kuijua hiyo budget yenyewe ya mwaka huu. Naimani CAG yupo macho, mwakani atatuambia which is which kama mtoa mada alivyouliza.
  3. A

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TRA na kuivunja Bodi

    Tungewajua body members ingetupa picha juu ya mnachokiita sababu.
  4. A

    Naombeni ushauri nimeadhirika na punyeto

    Kaka pole, ila nami naungana Na washauri waliopita. Kula vizuri vyakula asili Na jipe likizo ya siku hata 89 hivi. Utarudi hapa kushukuru.
  5. A

    Tetemeko la Ardhi Kagera: Serikali imeonesha udhaifu mkubwa sana

    Mtu akitoa ni shida, asipotoa nayo ni shida! Hivi binadam uishi vipi ili uwe sawa kwa watu?
Back
Top Bottom