Kama sipo serious sawa, ila si kupenda kwangu kuchelewa clinic, nyuma ya pazua kuna changamoto nazipitia na nshakwambia ila sijui kwanini unanisakama mwanamke mwezio badala ya kunitia moyo
Sina mawasiliano nae mume wangu wa ndoa alikuwa anasafiri kwenda nje na magari haya makubwa na Mars ya mwisho trh 6 may yeye na wenzake walienda Congo alipokuwa Congo nilikuwa nawasiliana nae wasap ila baada ya muda nkawa simpati, nikaamua kumtafuta mwenzake ,mwenzake akanambia sim yake mbovu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.