Recent content by Astronomer The Great

  1. Astronomer The Great

    JamiiForums Tanzania Mkude akienda Yanga SC atakuwa ametimiza Mambo haya makubwa Mawili ambayo wengi wenu mlikuwa hamuyajui

    Tupe madini Genta hii ndio maana ya Great Thinker mara nyingi unachosema kina kuwa kweli hapa nimekuelewa hata manula mm nina wasi wasi nae embu fatilia hili mkuu
  2. Astronomer The Great

    JamiiForums Tanzania Manara anajiona mungu mtu kwenye mpira wa Tanzania.

    ameafanyaje jee tena
  3. Astronomer The Great

    JamiiForums Tanzania Familia ya GSM yote ni Simba, wapo pale Yanga kibiashara tu

    Kipindi kile alitaka kuja Simba lakini ndio muda huo kuna Mo ikashindakana Yanga yupo kwaa ajili ya biashara na ili mradi biashara zake zinaenda hakuna shida
  4. Astronomer The Great

    JamiiForums Tanzania Kiranga sio atheist ni non-believer

    Amesahau kuwa biblia inasema bisheni mtafunguliwa yaan wakristo na waislam wanachagua na kudonyoa vifungu vinavyowafuraisha ila ukianza kuwaonesha uongo wa biblia na quran yaan hapo utaambiwa unakufuru
  5. Astronomer The Great

    JamiiForums Tanzania Kiranga sio atheist ni non-believer

    Maana yangu ni kwamba kutumia wakati uluopo ndio kutunga sheria ili ziweze kuongoza watu lakini ukiangali quran na bible zimepitwa na wakati kwakuwa haziendani na wakati wa sasa huoni hili tatizo
  6. Astronomer The Great

    JamiiForums Tanzania NBS: Wanawake wengi Tanzania wana vitambi

    Kitambi raha mwanamke mwenye kitambi ukijibanza katika kona akianza kutokeza tu unaanza kuona miguu halafu ndio unakuja mwili
  7. Astronomer The Great

    JamiiForums Tanzania Kiranga sio atheist ni non-believer

    The word magic come from the word magoi hawa magoi walikuwa Persia people kwa wagiriki ni magi maana yake ni wise men kwa hivyo watu wa zamani ambao waliokuwa na busara katika utawala wa persia waliitwa magoi na utawala wa persia katika biblia unajulikana kama uajemi kumbuka babel ilipovunjika...
  8. Astronomer The Great

    JamiiForums Tanzania Kiranga sio atheist ni non-believer

    kwa hiyo kuijua biblia mpk uwe na holy sprit ?
  9. Astronomer The Great

    JamiiForums Tanzania Kiranga sio atheist ni non-believer

    historia ya adam je ww unakubali kuwa mtu wa kwanza kuumbwa ni adam
  10. Astronomer The Great

    JamiiForums Tanzania Kiranga sio atheist ni non-believer

    israel taifa teule kaika bendera yao wamweka star of david je taifa lao nalo linaabudu satan
  11. Astronomer The Great

    JamiiForums Tanzania Kiranga sio atheist ni non-believer

    mungu gani unaweza kusema unaamini mungu wako mti ndie aliyekuumba je tutakubali
  12. Astronomer The Great

    JamiiForums Tanzania Kiranga sio atheist ni non-believer

    wewe unakubali kuwa adam ndio mtu wa kwanza ?
  13. Astronomer The Great

    JamiiForums Tanzania Kiranga sio atheist ni non-believer

    Biblia kitabu chenye makossa chungu mzima ndio kiwe kitabu cha mungu 🤣 🤣 🤣 🤣 huyo mungu wa biblia mbona hamna kitu yule maana ingekuwa biblia kitabu cha mungu kisingekuwa na makossa
  14. Astronomer The Great

    JamiiForums Tanzania Kiranga sio atheist ni non-believer

    hiyo inaitwa star of david ina mambo mengi sana ilikuwepo toka Enzi ina uhusiano mkubwa na magic that's why magician waislam wakristo wayahud witchcraft masonic trader freemason wote wanaitumia kwamaelezo Zaidi isome star of david
  15. Astronomer The Great

    JamiiForums Tanzania Kiranga sio atheist ni non-believer

    haya nimekuelewa unaamini kitu ambacho hakipo
Back
Top Bottom