Recent content by astranaut

  1. A

    Ninaipenda style ya spooning lakini simalizi dakika 5, nifanyeje ili nidumu?

    Vyote ulivyovitaja hapo juu ndivyo vinachangia wewe kufika mapema Wala hakuna mchawi mwingine yaani in short wakati wa sex Kama miili yenu ikigusana kisawa sawa Basi hisia hua zao ngezeka kutokana na lile joto la mwanamke.
  2. A

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Kwenye mahandaki na askari wengine ambao hawako mstari wa mbele
  3. A

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Mkuu kwani hiyo haiwezi kua mbinu ya kivita ili kumwaminisha adui ujinga atoke mafichoni anyukwe?
  4. A

    Godbless Lema: Nilimpigia Kikwete baada ya Magufuli kuondoka, nilimwambia aongee na Mama nataka kurudi

    Mmmh!embu rudia kusoma ulichokiandika Tena? Huo ubora anaupata vipi? 2011 kwenye utawala wake arusha kulitokea mauji makubwa, ktk utawala wake Dr ulimboka alitekwa na kwenda kutupwa msitu wa mabwepande,ktk utawala wake mchakato wa katiba mpya ulikwama.katika utawala wake ndipo elimu ya Tz...
  5. A

    Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

    Mwenyezi mungu aepushie mbali asiwe ni dada angu.
  6. A

    Kuuliza si ujinga: Hivi Diwani Athumani kashuka au kapanda?

    Kumbe huyu ndie suphian juma Chawa maarufu wa mh.rais kwa Sasa twitter? Coz kule Twitter nako kauliza swali Kama Hilo hilo
  7. A

    Rais Samia na CCM msaidieni Anthony Diallo jahazi linazama

    Hachelewi Kuja kusema eti sababu ni yule kichaa wa chato Kama alivyomuita yeye ndo aliesababisha kampuni yake kudaiwa madeni makubwa ivo
  8. A

    Abigail Chams: Wazungu wanajua Afrika ni kijijini

    Any way lakini pia Magufuli mwenyewe alisema kwamba alikua anapambania kubadilisha mindset za watanzania Ili wajitambue.Bahati mbaya ndo Ivo alifeli kwenye demokrasia tu lakini Kama angefanikiwa kwenye demokrasia Basi pengine angekua ndie rais Bora kuwahi tokea africa
  9. A

    Abigail Chams: Wazungu wanajua Afrika ni kijijini

    Abigail kwao ni uraya/amerika?
  10. A

    Ndege ya Air Tanzania yashindwa kutua Bukoba, yageuza kwenda kutua Mwanza

    Nashangaa na Mimi au chato mbali kuliko mwanza
  11. A

    Historia ya Wilaya ya Ngara, utamaduni wa wakazi wa Ngara na chanzo cha jina la kabila la Wahangaza

    Je hao wahangaza na wasubi kabla ya Tanganyika kupata Uhuru tayari walikuepo nchini au walikuja baada maana lugha yao inafanana kabisa na lugha ya wahutu.Na ukizingatia Mara ya baada ya Tanganyika kupata Uhuru mwalimu nyerere alisema kwamba mtu yeyote ambae kabla ya saa 6 usiku wa kuamkia tar...
  12. A

    World Bank yazitaka nchi mbalimbali Duniani ziige namna Tanzania inavyosimamia Uchumi wake na kudhibiti Mfumuko wa Bei

    Hizo nchi zilizotakiwa kuiga mfano wa Tanzania ni Kama zipi? Je,hata G7/G20 wamo pia?
  13. A

    Rais Samia: Wapinzani nimewapa kazi ya kukutana na kuzungumza, walete mapendekezo yao tukubaliane

    Mpaka hayo maoni kuja kufanyiwa kazi tayari ni 2024 mwishoni.
  14. A

    Askofu Mwamakula: Tusilale usingizi pasipo kujua Moses Lijenje yupo wapi na ana hali gani

    Ana hoja bahati mbaya kwakua huyo Moses lijenje hakua mwana siasa Wala hakuna hata anaejihangaisha nae.Hiyo ndiyo Tanzania
Back
Top Bottom