Mkuu naona bado hujaelewa kitu, nipo mwaka wa kwanza sasa nawezaje fanya hayo mambo? Pili am concerning with eye care professional. Sorry kwa kunielewa vibaya. Ndio tunasoma anatomy, boich, physio, micro na mengine mengi
Mkuu unaweza kuona kama utani vile ila ni kweli. Tena nipo huwa natumia dawa ka mwezi m1 nakuwa nafuu ila huwezi amini ugonjwa unarudi tena. Kipimo cha typhoid ni widal test.
Wakuu habari zenu?
Mimi nikijana wa mwaka wa kwanza ninaesomea taaluma ya udaktari chuo fulani hapa kwetu Tz. Nimekuwa na typhoid fever for more than 1 yr. Nimetumia antibiotics kama cipro, nimetumia pia powersafe injection na zingine nyingi ila sijafanikiwa kutibu tatizo.
Naombeni mnisaidie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.