Nina typhoid ambayo sijafanikiwa kuitibu kwa 2 yrs

Mkuu naona bado hujaelewa kitu, nipo mwaka wa kwanza sasa nawezaje fanya hayo mambo? Pili am concerning with eye care professional. Sorry kwa kunielewa vibaya. Ndio tunasoma anatomy, boich, physio, micro na mengine mengi

Kawaida Taifod haipon kbsa

Bali wale wadudu hupungua na kuongezeka ukikaz upme uambiwe huna utakesha .

Mkuu hujanielewa kwanza nilitaka kujua hicho kipimo cha widal test unakifanya katika hospital zipi na unapewa majibu baada ya muda gani?

Mkuu widal test zipo za aina mbili:

1.Tile method hii huwa ni quick method na unaweza kuyapata majibu yako kwa muda mfupi tu.

Njia hii faida yake ni kwamba unapata majibu mapema sana lakini tatzo ni kwamba haina ubora katika dhana nzima ya kuupata ugonjwa.

Kuna uwezekano mkubwa wa kupewa majibu positive ilhali ni negative

2. Tube method hii ni njia ya pili.hii inachukua muda kidogo inakuwa ni zaid ya masaa 24 kwa sababu inahusisha incubation.

Ukilinganisha na njia ya kwanza hii ni bora zaidi kuliko ile ya juu ingawa hii pia inaweza kukupa majibu ambayo sio sahihi.


Njia sahihi ya kupima typhoid fever ni stool culture kwa ajili ya ku-isolate hawa wadudu wa typhoid hii haina shaka

Lakini pia mkuu kwa njia nilizokutajia hapo juu ukipimwa na ukaonekana widal test positive ukimaliza dawa hutakiwi kukurupuka tena kwenda kupima kwa sababu zile antibodies hubaki mwili kwa muda walau miez mitatu ndo zinaweza kuwa cleared.hapa daktari anatakiwa kujua historia ya mgonjwa vizuri.

Mkuu uliyesema wadudu hupungua tu sio kweli typhoid inapona vizuri kabisa bila tatzo ila ukutane na mtaalam tu

LT
 
Widal test is not specific,uko unatest positive kwasababu bado antibodies due that infection zipo but huna active infection,ningekushauri ufanye blood culture
 
Njia ambayo huwa wanatumia nahisi ni hiyo tube method maana majibu huwa nayapata kwa muda wa masaa 24. Nahitaji matibabu yaliyosahihi.
 
Wakuu habari zenu?
Mimi nikijana wa mwaka wa kwanza ninaesomea taaluma ya udaktari chuo fulani hapa kwetu Tz. Nimekuwa na typhoid fever for more than 1 yr. Nimetumia antibiotics kama cipro, nimetumia pia powersafe injection na zingine nyingi ila sijafanikiwa kutibu tatizo.

Naombeni mnisaidie tiba salama ya huu ugonjwa. Asanteni
Mkuu Pole sana kwa hayo maradhi nitafute mimi nipate kukutibia na utapona kabisa.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
 
Nenda kafanye culture and sensitivity siyo kula dawa tu,by the way cipro zimekuwa resistant kwa bacteria wengi sababu ya kutumiwa irrationally.
 
Back
Top Bottom