Recent content by Associate Professa

  1. A

    Hizi ndizo taasisi za afya zenye mishahara mikubwa

    sijawahi kuona daktari wa serikali anaendesha RANGE ROVER like Velar, wengi wanaishia VITZ,IST,PREMIO,wakijitahidi sana CX 5 na makoti kwenye magari yao,
  2. A

    Watumishi wa Umma tupeane ushauri kuhusu mikopo inayotolewa na Taasisi mbali mbali za kifedha

    kwa TGS kuja kujenga gorofa, kununua range kuwa na milioni 100 ya chap chap kwenye account kabisa
  3. A

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Jenga hoja, hii itakuwa ni sheria ya drugs control and enforcement act ndiyo imeanzisha DCEA, na kuestablish offenses relating to drugs, and as well as penalties etc
  4. A

    Bila maamuzi magumu kutoboa kupitia kuajiriwa nitakusikia tu kwenye bomba Ajira za afya michosho tu sifa mtaani tu ila hela hamna

    Kwa kweli kuna taasisi za serikali watumishi wake wanalipwa vizuri kuna jamaa ananiambia Wana Housing allowance 900,000, Extraduty 1,500,000, Communication Allowance 200,000, Transport 450,000, na salary scale 3.2 M
  5. A

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Unakataa ulikuwepo au uko halmashauri au
  6. A

    Kwa Watumishi wa Umma: Kipi Bora Kwako Kama Mwajiriwa? Uchukue Mkopo Mkubwa Kwa miaka 10 au Uchukue Mkopo Kidogo Kidogo?

    -Gari 22.5M, Nyumba 35M hasara ya Mikoani Cement iko juu na other materials za finishing andaa 50M ya ujenzi kwa kifupi hela inaishia kwenye Ujenzi -Mtaji mdogo sana, na inaonekana unakopa uanze biashara utaumia sana.
  7. A

    Kwa Watumishi wa Umma: Kipi Bora Kwako Kama Mwajiriwa? Uchukue Mkopo Mkubwa Kwa miaka 10 au Uchukue Mkopo Kidogo Kidogo?

    70M ujenge, ununue gari,upate na hela ya biashara, sidhani kama inawezeakana
  8. A

    Kwa Watumishi wa Umma: Kipi Bora Kwako Kama Mwajiriwa? Uchukue Mkopo Mkubwa Kwa miaka 10 au Uchukue Mkopo Kidogo Kidogo?

    -kama umekopa 70M salary scale yako ni ndogo sio kubwa, kwa muda huo wa miezi 144 angekuwa mtu mwenye salary ndefu angechukua 150M -BTW pia 70M for 144 months sio mbaya.
  9. A

    Kwa Watumishi wa Umma: Kipi Bora Kwako Kama Mwajiriwa? Uchukue Mkopo Mkubwa Kwa miaka 10 au Uchukue Mkopo Kidogo Kidogo?

    -sawa siwezi na sio mchezo mkuu - kwa hiyo hapo ulipo una 30,000,000 tafuta demu mwenye tako kubwa kama Posh Queen ule kujipongeza inayobaki jenga chumba sebule chumba sebule pangisha.
  10. A

    Watumishi wa Umma tupeane ushauri kuhusu mikopo inayotolewa na Taasisi mbali mbali za kifedha

    -kwa mishahara hiyo ukinunua Gari ya 50M ni ndoto, -yani hayo madaraja hadi mwisho hazifiki hata 5m, unless kuwe na housing allowance like 500,000, transport allowance 300,000, communication allowance 200,000, extraduty 700,000 ndio unaweza kusavaivu
Back
Top Bottom