sijawahi kuona daktari wa serikali anaendesha RANGE ROVER like Velar, wengi wanaishia VITZ,IST,PREMIO,wakijitahidi sana CX 5 na makoti kwenye magari yao,
Jenga hoja, hii itakuwa ni sheria ya drugs control and enforcement act ndiyo imeanzisha DCEA, na kuestablish offenses relating to drugs, and as well as penalties etc
Kwa kweli kuna taasisi za serikali watumishi wake wanalipwa vizuri kuna jamaa ananiambia Wana Housing allowance 900,000, Extraduty 1,500,000, Communication Allowance 200,000, Transport 450,000, na salary scale 3.2 M
-Gari 22.5M, Nyumba 35M hasara ya Mikoani Cement iko juu na other materials za finishing andaa 50M ya ujenzi kwa kifupi hela inaishia kwenye Ujenzi
-Mtaji mdogo sana, na inaonekana unakopa uanze biashara utaumia sana.
-kama umekopa 70M salary scale yako ni ndogo sio kubwa, kwa muda huo wa miezi 144 angekuwa mtu mwenye salary ndefu angechukua 150M
-BTW pia 70M for 144 months sio mbaya.
-sawa siwezi na sio mchezo mkuu
- kwa hiyo hapo ulipo una 30,000,000 tafuta demu mwenye tako kubwa kama Posh Queen ule kujipongeza inayobaki jenga chumba sebule chumba sebule pangisha.
-kwa mishahara hiyo ukinunua Gari ya 50M ni ndoto,
-yani hayo madaraja hadi mwisho hazifiki hata 5m,
unless kuwe na housing allowance like 500,000, transport allowance 300,000, communication allowance 200,000, extraduty 700,000 ndio unaweza kusavaivu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.