Recent content by assaniz

  1. assaniz

    Demu wangu kaniambia nacheka kama Yesu baada ya kumpatia pesa

    Jana nilibet nikashinda sh 35,000. Mida ya jioni nikaingia kitaa huku nikivimba, demu wangu si kaniona akaniomba sh 5000 kwa jeuri nikamgea sh 10000 huku natabasamu. Dah uwezi kuamini alicho niambia "Eti oh baby unacheka kama Yesu " dah yani hadi now najiuliza hivi ni kweli nacheka kama Yesu au...
  2. assaniz

    Mgeni, naomba ukaribisho

    habari zenu jamani #tunaweza kufahamiana
  3. assaniz

    Hawa ndo wanaume ninaowapenda humu JF

    upepo wa... Upo utakupitia mbali aisee
  4. assaniz

    Moja ya vitu vinavyosumbua akili ni kumiss kitu au mtu

    iki kimvua kitagombanisha watu so sili
  5. assaniz

    Kazi ya upishi

    mh mbona Malipo na kazi vi2 viwili tofauti
Back
Top Bottom