Recent content by asmaluqman

  1. A

    Msaada mtoto anaharisha.

    Chemsha majani ya mpera, yaache yapoe,mpe waji yake anywe. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. A

    Naomba msaada Wa kitaalamu

    Nini sababu ya kichwa kuuma upande Wa mbele kulia kuzunguka jicho kuja juu kidogo ya nyusi.
  3. A

    Siasa za Udahili: Muslim University of Morogoro

    Utakuwa na chuki binafsi wewe, uliza msuli Wa MUM. Naweza kusema MUM ni kati ya vyuo vichache bora .
  4. A

    Hii ni handbag ya nani hapo kwa PM?

    Hapana jamani nyuma ya mama Samia kuna board guard wake ndo kabeba hiyo pochi, ila yeye haonekani, inaonekana pochi tu.
  5. A

    Sheikh wa Dar: Rais Magufuli ni sawa na Omar bin Khattab(RA)

    Huyu sheikh mtihan, Allah yaalam.
  6. A

    Mwigulu Nchemba: Tuna Rais mmoja tu nchi hii, analoliamua wote tunapaswa kulifuata

    Nadhani busara itumike zaidi kuliko nguvu. Uongozi mzuri no ule wa nafsi za watu na sio miili yao. Pia tujifunze kuwa na akiba ya maneno dunia sio kisiwa. Tusipo kuwa makini suku moja haya maneno yatatuweka katika wakati mgumu. Time will tel believe me.
  7. A

    Tanganyika hatuji kupata Rais bora kama Kikwete

    Kweli kabisa he was visionary leader
  8. A

    WANASIASA KUTOFAUTIANA KAULI KWANINI HASA VIONGOZI??

    Lugha gongana, time will tell .
Back
Top Bottom