Nadhani busara itumike zaidi kuliko nguvu. Uongozi mzuri no ule wa nafsi za watu na sio miili yao. Pia tujifunze kuwa na akiba ya maneno dunia sio kisiwa. Tusipo kuwa makini suku moja haya maneno yatatuweka katika wakati mgumu. Time will tel believe me.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.