Recent content by ashukur

  1. A

    Uvaaji wa hijab kwa wanafunzi wa sekondari Tanzania

    ni kweli kabisa maana Qur an huwa haiongopi...."wala hawataridhia Mayahudi na Manaswara 'wakristo' mpaka mfuate mila zao" hilo ndilo linalokupa taabu kuona waislam hawafanani na hivyo vimini vyenu. cha ajabu ni kwamba wale masister wa ROMA wanapendeza sana na mavazi ya kiislamu sijui unasemaje hapo
  2. A

    Tazama saini za maafisa wa ikulu sakata la wapentekoste kutochaguliwa bunge la katiba

    Wapi wawakilishi wa mashia, budha, hindu, singh, na bohora?!
  3. A

    Naona EPA na Assey inachangia ujenzi wa kanisa

    Lea hy yesu ndo anashauri wizi?! Think
  4. A

    Bashiru Ally: Vyama vya siasa Vya Maslahi

    sasa issue ya udini hapo ijetoka wap, kwani ccm cku hizi ni chama cha waislam na chademachama cha wakristo au.
  5. A

    Zitto Kabwe: Sijamuoa mtoto wa rais Kikwete, sipo bungeni kwa ajili ya kupigana ngumi

    Ucwe mzito kuelewa, ushaambiwa mbunge anakula 11 milioni so na kabwe yumo humo humo kazi kwako
  6. A

    Kama kweli WAISLAM wanachukizwa WAANDAMANE KUPINGA!!

    kuna UISLAM na WAISLAM, UISLAM ni dini na Waislam ni watu au wafuasi wanaofuata matakwa na mafundisho ya UISLAM, hivi mfano ukisema WAKRISTO WANAFANYA USHOGA NA VIONGOZI WAO WA DINI NA KURUHUSIWA KWA NDOA ZA JINSIA MOJA ni sahihi? in philosophy we say that is fallacy i.e HASTY GENERALISATION...
  7. A

    Usirogwe ukaoa nyumba ndogo

    Wanaoruhusiwa kuoa zaidi ya mke mmoja hawatakiwi kutafuta nyumba ndogo ila huruhusiwa kutafuta mwanamke nakumuoa wala c kuweka nyumbandogo
  8. A

    Alshabab Wafungua Akaunti nyingine Twitter.

    sio uislamu tu, hakuna dini yoyote inayoruhusu kuua nafsi bila hatia. kwenye uislam inaruhusiwa kulipiza kisasi na inaelezwa kabisa kisasi hicho mtu alipize kwa njia gani, kwa mfano mtu kwa mtu, jino kwa jino, sikio kwa sikio. hapa nadhani hata kama ni mtu akikukata mkono naye anatakiwa kukatwa...
  9. A

    Ugaidi Kenya - Picha kutoka eneo la tukio WestGate

    its real tragic and bring fear to not only Kenyan citizens but to all Africans and World in general. we believe all evils will be awarded here on earth before going to heaven. it is a pathetic situation, lets all pray together for our late brothers and sisters in Kenya, May Almighty Allah rest...
  10. A

    Dawa ya sheikh ponda hii hapa.

    Ushawahi kusikia hata cku moja sheikh ponda kaitisha press comference pale habari maelezo?! Ni watu wa media ndo hutafuta njia ya kuuza magazeti na matangazo yao ya runinga ndo hapo wanapotafuta public figure PONDA! Anywa hebu mpeni nafasi nyie wahafidhina mumsikilize muone km kweli anapenda...
  11. A

    Mahakama yawatia hatiani Wakurugenzi Wanne wa DECI - Waliopanda DECI kurejeshewa Mavuno

    Why imams are not possessing private jet? Majibu yapo hapa!
  12. A

    Waziri wa zamani (Kilontsi Mporogomyi) sasa kumtumikia Mungu kama Askofu Mkuu!

    hayawi hayawi sasa yamekuwa, kamtumikia bwana katika utumishi wake serikalini na sasa kaamua ajidhihirishe baada ya kutoka madarakani. haya baba kusanya kusanya nasema kusanya tuu!! KILA ALIYE MJINGA NA AINGIE HUMUUUUUUUU!!!!
  13. A

    Prof. Lipumba aitaka Mahakama ya Kisutu kumfutia Ponda Mashitaka ya Uchochezi

    mi nafikiri mnashindwa kuelewana hapa, kwani wewe unaeamini YESU ni MUNGU, upo sahihi kwa imani yako na yule anaeamini YESU SI MUNGU pia hakulazimishi na wala hakuchunguzi unachoamini wewe ila tu yeye anainadi imani yake kuwa YESUSI MUNGU naawe endelea kumnadi kuwa ni mungu. finish!!!!
Back
Top Bottom