Habari zenu...mimi ni mmoja wa walioitwa last week NSSF HQ kwenye oral interview kwa ajili ya post ya OPERATION OFFICER....nilienda pale jumtanano saa kumi....according to people nilowakuta pale wakawa wanasema ati interview ni mpaka jumapili ma wengine wakawa wanasema ati ni mpaka...
Mie nimepigiwa just now...wamenambia 2nd interview jumamosi saa tatu IFM na wamenipa na serial number
Jana walinitumia msg without Namba...so wale ambao wamepata msg without namba wasikate tamaa they will call you to let you know na kama hawajawapigia j'mos muwahi maeneo walowatajia lazima...
Mie nimepigiwa just now...wamenambia 2nd interview jumamosi saa tatu IFM na wamenipa na serial number
Jana walinitumia msg without Namba...so wale ambao wamepata msg without namba wasikate tamaa they will call you to let you know na kama hawajawapigia j'mos muwahi maeneo walowatajia lazima...
hata mimi nimetumiwa meseji pia na sijapewa serial number na hiyohiyo written ss sijui vipi......inavyoonekana hapa wengine wamepewa wengine hawajapewa number.
jamen kuna mtu yoyote kapigiwa simu leo kutoka nssf kufahamishwa kuwa kabadilishiwa serial number yake ya pepa??plz nijibun maana me nimepigiwa cm nimepewa serial kpya aty ile ya kwenye email niachane nayo....dnt knw f tz true or not...so n'body alopigiwa plz roho yangu itulie
Naomba kuuliza plz...kuna watu nimeckia wamepangiwa interview mchana na wengne sie asubuh na kuna wengine nimesikia aty wamepangiwa siku nyingine tofauti na tar.13...ss swali ni hili inawezekana kweli tuloitwa asubuh ndo wale tulosomea mambo ya public adminstration au human resource?cz ktk list...
Hata me nashangaa...jaman tuachane na mambo ya udini kama ni ridhiki ya mtu kupata atapata tu no matter what...mambo ya dini tuwekeni kando tudiscuss kuhusu hcho cha jumamosi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.