Interview ya dr lazima ubaki na maswali mengi sana... dr anasema ndugu inawezekana hawana mawasiliano nae kwa maana hawana namba yake je kashindwa kuwatafuta hali yeye amerudi...
Dr aliishi maishi ya kimachale ila aliweza kurudi spain na akaishi sasa cjui aliondoka kwa njia gani maana alisema...
Huyu jamaa hapa anajifunga kwa maneno yake na dhahiri inaonekana alielewa vizuri tu kuwa hili neno sindelela linalenga wapi
1. Anasema hafuatilia bongo fleva wakati hapohapo ana mstari wake na analijua kuwa kuna kiba na mond na ni wa pinzani wa hali juu na akawaongelea kwenye mistari yake sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.